Ndio hivyo, sioni kabisa haja ya kuendelea kuwakirishwa na watunwachache ilihali sikuhizi ni utandawazi, mikutano inaweza kufanyika bila kukutana, pia hata bunge linaweza kuwa hivyo, ili kuhusa washiriki wa kutosha kwenye maamzi
Asante tutaifikisha tuu, natumaini miaka ijayo tutakuwa na Bunge huria kwa njia ya mtandao, ili kuweza kuruhusu raia wengi hasa vijana kuchangia maoni na maamzi katika masuala ya Taifa letu
Utangulizi
Bunge mkononi litakuwa ni bunge/mkutano utakaompa nafasi kila mwananchi kuwa mbunge. Bunge hili litakuwa kwa njia ya mtandao, na mshiriki ataweza kushiriki kupitia sim janja ya mkononi. Mtu aliye tayari atajisajiri katika mtandao wa bunge utakaoanzishwa, na maombi yatatumwa selikalini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.