Maisha yanaenda kwa Kasi na Kila kitu kinabadalika, muda mwingine nakaa nakutafakari je tuendako ni sahihi ?
Je, ni kheri kurudi miaka ya zamani au kwenda mbele bila kujua kinachotusubiri? au ni mimi tu ambaye bado nimebaki nyuma? Nifuate mkumbo kama wenzangu au la!!!
Ukuaji wa teknolojia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.