Hapo bado hujapata but umepew fursa ya kubadilisha program na kuweka ambazo una sifa ya kuzisoma......either ulizoziweka hukua na sifa ya kuzisoma.. .ingia in ur profile ubadili selection
Huyo mwanasheria hana locus stand... Hii scenario imekuwa ikionekana katka vijiwe vingi vya kisheri lakin mwisho wa siku tunaangalia locus stand ya yeye kupeleka case mahakamani.
Inawezekana kwa baadhi ya koz znaozendana kwasababu moja kati ya wadogo zangu alisoma human resource certificate then akahamia law kwa diploma till bachelor.... So jarbu huenda ikawa zali
Mhmh.... Mi nadhan chuo chenu ndo wamezingua coz kwa jinsi nnavyofaham matokeo yakishatoka chuo hupeleka matokeo nacte na pia chuo hutengeneza transcript na huwa hazipelekwi nacte ndio maana huwa hazina muhuru wa nacte au sahihi ya mtu kutoka nacte. Wanaohusika kuzkishapitisha na kudhibitisha...
Jaribu kuresend Mara nyingi coz mtandao wao huwa unazngua kweny kuapload. 7bu ya kubwa ni kuwa busy, watu wengi wanakuwa kweny mfumo so wakati mwingine huwa inalemewa
Pia ujue kama uli apply vibaya kwa kuunganisha NTA level 5 na 6 sehem moja na ukaweka sehem waliyohitaj level 6 tu, huwa wanajumlisha, wenzangu walifanya hivyo but wakashushiw GPA but walivyorekibisha katk 3round wamepata. I mean sehem ya level 6 hakikisha imekaa yenyewe. Kma ulifanya hivyo na...
Pole sana, cha msingi endelea kusubiri, Mimi nliapyly 1, 2 ila 3 nmepata na wakat huo wote walikuwa wanatoa fursa ya kuaply upya but hawakuw wanaruhusu kubadili vyuo....so jaribu kuwa na Subira huenda ukapat katka round hii ya 4
Je kuna mazingira ambayo yanaweza kupelekea nacte wakajumlisha GPA za NTA level 5 na 6 ili waweze kupata cumulative GPA za mtu kwenda bachelor? Nasema hivi coz kuna habari alizipata ndugu yangu aliyeomba kwenda bachelor kuwa, kama chuo hakina full registration itapelekea nacte kujumlisha NTA...
No way out, hukumu ya kifo inabidi ibaki pale pale na ikiwezekana iwe inatekelezwa maramara kwa Mara coz kuna watu wamekosa utu na wanawauwa wenzao kikatili.......no way out,,,, ukitak usinyongwe ucfanye uhalifu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.