Recent content by Asijulikane

  1. Asijulikane

    JamiiForums Tanzania Wakili Mwabukusi: Wapinzani hawana afadhali yoyote na CCM, ni wabaya kuliko hata CCM

    Sisi watanzania ni wajinga, ndiyo maana Nyerere mwaka 95 alisema kama Ccm watangangania kumsimamisha Malecela, yeye hatokaa kimya ataweka tajiri mpya ktk landrova yake atazungumza kuwaambia wananchi wasiichangue Ccm, kwani wananchi hawaelewi! Mwambukusi kubeza kazi za wenzake wanazifanya kwa...
  2. Asijulikane

    JamiiForums Tanzania Namkubali sana Wakili msomi Mwabukusi lakini...

    Uchambuzi makini sana! Nilikuwa namsikiliza Mwambukusi, hadharani anawaambia wananchi ambao hajui itikadi zao, kwamba Chadema wamawashtaki polisi ili kuzuia mkutano wao! Niliona hapo hakuna mpinzani wa CCM, kuna mvurugano wa Upinzani! Yeye kama wakili msomi, inawezekanaje kuishutumu Chadema bila...
  3. Asijulikane

    JamiiForums Tanzania Watanzania tunakumbuka Mbowe aliahidi kustaafu 2023 na Zitto Kabwe 2024!

    Lisu: 'Kama kustaafu, wazo Litoke kwa wanachama wa Chadema, siyo Litoke CCM';
  4. Asijulikane

    JamiiForums Tanzania Mbowe na siasa zake za "I am the only negro incharge in here"

    Njia halali ya kisheria ya kuwania madaraka ya uongozi wa nchi, ni kuanzisha na kuendesha chama cha siasa! Hiyo ya akina Mbambukusi ni uhuni na vurugu! Kama kweli wanania ya kuikomboa nchi, hakuna short cut, wajiunge na vyama vya siasa!
  5. Asijulikane

    JamiiForums Tanzania Je, Dkt. Wilbroad Slaa anajipenyeza CHADEMA kiaina kuimaliza kazi aliyopewa na CCM?

    Chadema imegundua, ikiunga a na chama chochote, CCM wanapitia njia hiyo kuwavuruga, akina lipumba erc wakiwapo? Wameamua kusimama pekeyao, huo ndio mpango!
  6. Asijulikane

    JamiiForums Tanzania Hotuba ya Mbowe Zanzibar, ndiyo Hotuba bora ya muda wote

    Chadema walisha sema, kushirikiana na tatu ni mtego wa CCM, CCM wakija wanapaswa tia kwa hao ili kuwavuruga! Just imagine, inashirikiana na Dr. Sala, the CCM wanakuja, anauwezo wa kuwakwepa! Hivyo walipiga mahesabu kwa mbali, wakaona, tukijiingiza kwa Sala, tutalia tena! Na usikute CCM wametuma...
  7. Asijulikane

    JamiiForums Tanzania Ni kwanini wanasiasa wanaingilia utendaji kazi wa vyama vya wafanyakazi?

    Hadi TLS kipindi cha Lisu walipoamua kujivua koti la serikali kwa nguvu, serikali ikaamua kumwandalia tukio! Ila kwa vyama vya wafanyakazi, madhara yake ni makubwa sana! Bila udhaifu wa vyama vya wafanyakazi, serikali isingefikiria kuanzisha kikokotoo! Moto ungeanzia hukohuko kwenye vikao vyao!
  8. Asijulikane

    JamiiForums Tanzania Ni kwanini wanasiasa wanaingilia utendaji kazi wa vyama vya wafanyakazi?

    Siyo wanasiasa, ni serikali, baada ya kuona imevuruga mifuko ya hifadhi ya jamii, ili wafanyakazi wasiwe na nguvu ya kudai fedha zao,iliamua kuweka watu wake ili wawe viongozi ili wakubali kikokotoo! Ni hadi siku watumishi watakapojitbua! Vya vya wafanyakazi vimetekwa na TISS, serikali inakaa...
  9. Asijulikane

    JamiiForums Tanzania Kama huyu mzee anapata mashaka na CCM, mimi na wewe ni nani mpaka tuwaelewe?

    Hawa ndio wanaitwa responsible citizens!
  10. Asijulikane

    JamiiForums Tanzania MBARALI: Rais Samia aifutilia mbali Government Notice Na. 28 ya mwaka 2022 iliyowafukuza Wananchi wasilime Wala kufuga katika bonde la Usangu

    Kumbe hawajamaa wanajua ukweli wote! Basi kama watumishi wakijipanga vyema, hata KiKokotoo ifikapo 1024/25 kutafutwa tu! Ila inabidi wajipange!
  11. Asijulikane

    JamiiForums Tanzania Hifadhi ya Taifa Kigosi yafutwa rasmi na kuwa msitu wa hifadhi ya Kigosi

    Nchi hii maamuzi yote hayaangalii vizazi hata viwili mbele, wanaangalia mahitaji ya serikali hii ya sasa tu! Nakumbuka viongozi wa CCM na wabunge wakati wa jk, walikuja na hoja kwamba msitu wa Vikindu ugawiwe kwasababu hauna miti mikubwa, yote imekatwa! Wakati huo, hoja ilipopelekwa idala ya...
  12. Asijulikane

    JamiiForums Tanzania Siasa zimefika patamu, leo Tundu Lissu wamemparura, tusubiri Mkito wake akijibu Mapigo

    Hakika tunasubiria ajibu kwa nguvu! hauwezi kusema watu hawana maadili, hawajapata mafunzo ya dini ya utotoni wakati wewe unasimamia Wamasai kuteseka kinyume na haki za kibinadamu na wenzako unaowasema wanapambana mbele ya mitutu ya bunduki kusaidia Wamasai kupatiwa haki zao za kibinadamu! Hapo...
  13. Asijulikane

    JamiiForums Tanzania Ukweli usemwe: Aliyeharibu nchi hii ni Mwalimu Nyerere kwa kushindwa kuwapa Watanzania Elimu

    Enzi za Nyerere huduma za elimu, hadi anangatuka zilikuwa nzuri sana! Tatizo baada ya hapo, serikali ilianza kutumia hela za umma kulia Bata! Kuanzia Mwingi, safari za nje za anasa! (Rejea safari ya RioDejeneiro ktk mkutano wa mazingira mwaka 1992). Kama warithi wake Wangwe seleza jitihada zake...
  14. Asijulikane

    JamiiForums Tanzania Watanzania wanawakubali CHADEMA juu ya kutetea rasilimali zao kuliko CCM kwa kipindi hiki fukuto likizidi kufukuta

    Chadema, ndio walikuwa wakwanza kuuchambua mkataba na kuanzisha kampeni za kuamsha nchi kuhusiana na mkataba wa DPW! Na hata sasa ndio walio beba agenda kuipeleka kwa Watz!
  15. Asijulikane

    JamiiForums Tanzania Mpeni Mungu yaliyo ya Kimungu na Kaisari yaliyo ya Kaisari! Hiki kinachofanywa na Baraza la Maaskofu Katoliki, sio kuchanganya dini na siasa?

    Hivi huyu jamaa ana uwezo wa kuchambua mambo kama anavyo jinadii, au kazi kujipendekeza kwa watawala tu? Kwa kujipendekeza kwake amuimiza sana watu binafsi na jamii kwa ujumla! Kumbuka akina nani yule mwandishi alivyo mletea matatizo makubwa hadi mama yake akafa kwa msingi wa mawazo! Watu kama...
Back
Top Bottom