Nashukuru kwa maelezo yenu wana jamii forum wenzangu. Ila ningepependa kufahamu mfumo wake wa kutengeneza pesa kupitia huu mfuko upoje? Je, naruhusiwa labda nikiwekeza baada ya muda gani fulani naruhusiwa kuja kutoa pesa zangu au ni mamlaka husika ndo wanatoa magawio? Nilitaka pia kufahamu...
Nimepata email kuhusiana na huu mfuko ikiwa na kichwa cha habari kwamba ni fursa ya kujikwamua kiuchumi. Lakini sifahamu kiundani uwekezaji wake na vipi nitapata faida. Naomba nijuzwe tafadhali kwa anaefahamu kuhusu hili.
Asanteni.
---------
Mchango
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.