Kwa kweli Apana nimeshapita mambo mengi sitaki kusema mengi. Wamelisema hadharani kwamba watanikomesha na wamenikomesha kweli. Wameniwekea mpaka kesi ya madawa ya kulevya na kutrngeneza pesa bandia ila mungu Mkubwa. Sio watu kabisa
Kote huku nimeshapita mambo mengi sitaki kusema mengi. Wamelisema hadharani kwamba watanikomesha na wamenikomesha kweli. Wameniwekea mpaka kesi ya madawa ya kulevya na kutrngeneza pesa bandia ila mungu Mkubwa. Sio watu kabisa
Watoto ndio familia nilioachiwa na Marehem Mke wang na Sina budi kuilea ipasavyo ........Dunia hakuna alie na uchungu au na mapenzi ya dhati kama Mzazi.
Unaweza ukafanya hayo maamuzi kama watu unaopambana nao Wana Imani na hofu ya Mungu lakini apana.
Watoto ndio familia nilioachiwa na Marehem Mke wang na Sina budi kuilea ipasavyo ........Dunia hakuna alie na uchungu au na mapenzi ya dhati kama Mzazi.
Inshallah haki itatendeka ....sasa hivi hakuna waolewaji .......kama unataka Kufa mapema kabla ya tarehe uliondikiwa na Allah na watoto wateseke kwa tamaa za kijinga siwezi jichanganya.
Hahahahaha niliamua sitaowa tena. Acha nilee watoto.nipo na biashara zangu hapa TZ . Kikubwa nikutekeleza mirathi na kuwaandikisha watoto nyumba zote, kupanigisha chini ya kampuni na hela ziende kwa account za watoto au nyumba ziuzwe mgawanyo kwa watoto. Nikiona balaa Bado lipo unahama nchi.
Wameweka pingamizi kwa hukumu iliokua imeshatoka ya Mirathi kwamba mm ni msimamizi wa mirathi. Tumesikiza pingamizi lao Tunasuburi
Hukumu kama pingamizi linasimama au hukumu ya awali itekelezwe.
Kesi ya Mirathi ilikua tayari hukumu imeshatoka kua Mm ni administrator na warithi ni watt. Wakatoa pingamizi Kisha wakajarobu kunitengenezea kesi ya madawa ya kulevya na illegal immigrant. Lakini yote yamepita nipo kihalalli na documents ziko sawa. Tunasuburi hukumu kuhusu ya pingamizi ndio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.