Anasubiriwa vibaya. DPP kacharuka vibaya. Akitua airport wala hatii mguu Serena. Mwisho wake utakuwaga pale Kisutu mahakamani. Ngoma ya bongo imemkalia vibaya. But let her come afungwe at least three years, aanze new life.
Afrodenzi: Read the divorce paper. The first name (Lance vs. Mange) ndie anayeacha-Lance. Sorry I am a lawyer so I thought you should know. This one kaachwa. Period!
Anamlipa 200 dollars per month. halafu analeta vitu vyote over the weekend I heard. Dada zake Mange nao wana midomo kama cherehani za vikapu. Wanamsema sana mdogo wao wa kambo. Lakini to be fair wanataka afungwe huku bongo mana US hawataweza muona.
Divorce mwanaume kakomoa. Karudio US eti kajiandikisha kusoma. So he is giving her studying allowances. Nyumba ni ya wakwe so no property at all. Lance is too smart for her. Ataambulia study allowance for the coming 4 years. Then he will start working watoto washakua na Mange atakuwa kaolewa na...
Pigwa hack mbaya na hackers wa bongo eti anajiita untouchable! They touched her a bit. Now I heard the hackers are on her instagram. Problem is that she wants kuishi life za akina Shamim Mwasha, Mwamvita, Kiki, Jacque Mengi na wengineo. Sasa kajaribu papuchi, biashara uchwara imekula kwake.
The lady was too much kama mtori unaonguka from bakuli. Sasa tumekaa tunatizama. Kinchwapanziiiiii anamkatisha viuno tu huko na issues. Mdada alifulia hadi akawa anulizia nyama haloooo.... I am loving this karma
Sasa atafanya wapi kazi? Bongo ana issues kibao. Kesi zake zimefika 7 hapa makao makuu. Jeshi lake linaongozwa na JK mwenyewe. Magufuli kutukanwa hata hakuna haja ya kesi ni kumdakua tu. Kifo kinamwita. Huyo Lance should take the kids wallahi.
Nilikuwa nakaonaga pale Serena most of the time maana my ofisi iko opposite. Kalikuwa kanajiuza masikini. Ukikaona kama mbilikimo Fulani hivi. Anatembea kwa kuvizivizia tu
Nyamaza hivyo hivyooooo! Asubiri moto wa Hoyce Temu. Tupo humu mambo ya NDANI kaa mkao wa kula. Mtoto wa polisi yule, ngoma inogile soon. Mdada hasemi lakini maktime yake mbayaaaa
Umeonaeee!!! Sasa anakula matapishi yake taratiiibuuuu!! Ngada ya kahe! Mchawi wake kafa lazima. Sasa kaona ya wenzie hayako hewani anayakazania. I want to ask people, how did she became a star? Na Star ni nani Tanzania? Kama amekuwa star, Bi Chausiku, mama wa mipasho aitwe nani?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.