Recent content by Ariela

  1. Ariela

    Je, ajira za Benki Kuu ya Tanzania (BoT) zinapatikana vipi na vigezo vyake ni vipi?

    Na sio realistic kabisa.kuna mtu mkubwa namjua tulikuwa tukimfuata atufanyie mpango anasema hivi si mjiajiri tu.sasa yeye katumbuliwa anahaha kwanini asijiajir na hela alipiga amekazana kuhangaika.na wanao tuambia tujiajiri wanajua kabisa tunatoka katika familia za kawaida.wakusomeshe na wakupe...
  2. Ariela

    Je, ajira za Benki Kuu ya Tanzania (BoT) zinapatikana vipi na vigezo vyake ni vipi?

    Na sio realistic kabisa.kuna mtu mkubwa namjua tulikuwa tukimfuata atufanyie mpango anasema hivi si mjiajiri tu.sasa yeye katumbuliwa anahaha kwanini asijiajir na hela alipiga amekazana kuhangaika.na wanao tuambia tujiajiri wanajua kabisa tunatoka katika familia za kawaida.wakusomeshe na wakupe...
  3. Ariela

    Natafuta kazi Nina degree ya Community Development

    Nipo dar,naweza Ila ndio shughuli nazofanya,ninapenda kuifanya kama part time.asante
  4. Ariela

    Natafuta kazi Nina degree ya Community Development

    Asante, Mungu atusaidia
  5. Ariela

    Natafuta kazi Nina degree ya Community Development

    Asante ndugu kwa kunisaidia kujibu kwa sababu sijaongelea kuhusu waalimu.inaonekana yeye mwenyewe ndio anaidharau kazi yake
  6. Ariela

    Natafuta kazi Nina degree ya Community Development

    Hapana ndugu Mimi ni mdada
  7. Ariela

    Natafuta kazi Nina degree ya Community Development

    Habari zenu, Mimi ni mgeni kwenye jukwaa hili, Natafuta kazi, Nina degree ya community development.Nimewahi kufanya kwenye NGO kea mda wa miaka mitatu but mradi wetu uliisha.Ninafanya biashara ndogondogo kwa sasa Ila ninapenda kufanya kazi pia.Kama Kuna mtu anaconnection yoyote nitashukuru...
Back
Top Bottom