Nakubaliaina na wew, kimandhari na majengo mazuri Arusha ipo vizur kuliko Mwanza ila Mwanza inaizid Chuga kwa fursa nying mfn, kilimo (umwagiliaji) uvuvi, n.k
Kwa uzoefu wang mim wa kulaumiwa n TCRA na Makampuni ya simu, baada ya usajili wa nida kulitakiwa kuwepo na taarifa za kila laini na kuweze kufanya ufatiliaji lkn hlo halipo, kampun za cm zenyew n kama zimebarik mchezo huo na hata nyngne hazitoi taarifa za wat hawa wakidai eti siri za mteja...
Kwa maana hyo kalenda za kiislam zipo tofaut.....!!? Niluyo nayo mimi inaniambia kuwa leo trh 14/05/2021 ni sawa na 02 Shawwal 1442, je kuna nyingne inasema leo n Shawwal 01......!!?
Sasa wewe, hujui quran inasemaje juu ya viongozi, kuwa siku ya mwisho walokua viongoz watawakana waliowaongoza!? Unafkir ina maana gan....mimi nafuata matakwa ya dini na c ya mtu na cwez danganya watu kwan itakua ndiko kuangamia kwang hay n mas ala ya din na co stor za Juma na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.