Recent content by Apollo Boniface

  1. Apollo Boniface

    JamiiForums Tanzania Shahidi ashindwa kumleta Tundu Lissu Mahakamani Kisutu, Kesi yaahirishwa hadi tarehe 24 Septemba 2020

    Leo Agosti 26, 2020 Kesi Na. 123/2017 na Na. 236/2017 zinazomkabili Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kupitia Chama cha Demokrasi na Maendeleo Mhe. Tundu Lissu zilizoitwa leo mbele ya mahakimu mawili tofauti wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, zimeahirishwa hadi Septemba 24...
  2. Apollo Boniface

    JamiiForums Tanzania GE2020 CHADEMA kutikisa Dar kwa siku tatu, Uchaguzi Mgombea Urais Tanzania na Zanzibar

    Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kinatoa taarifa kwa Vyombo vya Habari na Umma wa Watanzania kuhusu ratiba ya vikao vya ndani ambavyo vitahitimisha uteuzi wa Mgombea wa Urais na Mgombea Mwenza wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mgombea wa Urais wa Zanzibar. Vikao hivyo vya kitaifa...
  3. Apollo Boniface

    JamiiForums Tanzania Taarifa kwa Umma, kuhusu kesi ya katibu mkuu wa BAVICHA na wenzake 7

    Itakumbukwa kwamba mnamo tarehe 09 Julai, 2020 Mahakama ya Mkoa wa Singida ilitoa uamuzi wa kuwanyima dhamana Watuhumiwa 08 akiwemo Katibu Mkuu wa Bavicha Nusrat Hanje pamoja na Mratibu wa Uhamasishaji wa Baraza hilo la Vijana Twaha Mwaipaya katika shauri la jinai na. 115/2020 linalowakabili...
Back
Top Bottom