Wakuu kwema?
Samahani wakuu. Mimi Nina mtaji wa 3M naweza kuwa wakala wa kuuza gas za kupikia majumbani na kwenye biashara ndogo ndogo. Utaratibu wake upoje? Na bei zake zinaendaje?
Naomba kufahamu kutoka kwenu wenye uweledi na uzoefu juu ya biashara hii.
Natanguliza shukran za dhati kwenu.
Habari,
Mimi ni dereva wa Uber, natafuta gari la kazi. Iwe ya mkataba ama gari ya hesabu kwa week. Gari iwe na plate number nyeupe ama njano. Niko vizuri na nina uzoefu na kazi yangu pia.
Tafadhali wasiliana nami kupitia: 0788 461 491.
Ahsante!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.