Mkuu karibu Morogoro Mikese, shamba lipo ukubwa hekari 140, shamba lipo KM 7 kutoka ilipo mizani ya mikese morogoro, barabara inapitika muda wote, shamba limesafishwa na linalimika kwa trekta
Shamba lenye ukubwa wa heka 22 linauzwa, Shamba lipo Mikese Mkoa wa Morogoro, KM 4 kutoka Mizani ya Mikese Morogoro au barabara kuu ya Morogoro-Dar
-Hekari 4 zimepandwa miti aina ya mitiki yenye miaka 7 na kuna nyumba moja kwa ajili ya wafanyakazi
-Shamba limepakana na barabara kuu inayokwenda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.