Recent content by Antelius

  1. Antelius

    Maelezo ya kupata leseni Baraza la Madaktari (MCT)

    Ni ngazi ya diploma so degree,Vyeti havijatoka ila nina Academic transcript tu
  2. Antelius

    Maelezo ya kupata leseni Baraza la Madaktari (MCT)

    Naamanisha sehem u wanapohitaji cheti cha professional kama cheti huna je unaweza kutumia Academic transcript
  3. Antelius

    Maelezo ya kupata leseni Baraza la Madaktari (MCT)

    Wakuu samahani. Je, naweza kutumia Academic transcript badala ya cheti katika kuomba leseni kwenye mfumo wa Medical council of Tanganyika (MCT)? Kwa sasa nimeuliza uku maana hamna response ukiuliza wao.
  4. Antelius

    Maombi ya leseni kwa medical

    Wakuu samahani Je unaweza kutumia Academic transcript badala ya cheti katika kuomba leseni kwenye mfumo wa Medical council of Tanganyika MCT
  5. Antelius

    Naomba kujuzwa kuhusu academic transcript

    Wakuu za leo naomba kuuliza kwa idara ya Afya kama umemaliza ngazi ya cheti unaweza kuomba academic transcript baada ya matokeo kutoka au inatakiwa ukae mda gani ndo uapply iyo academic transcript na je kama umesajiliwa na chuo kuendelea ngazi ya diploma unaweza kuomba academic transcript ya...
Back
Top Bottom