Recent content by anonymous789

  1. A

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Ukiukwaji wa Taratibu za upatikanaji wa mzabuni/mshitiri wa Dawa kwa Hospitali za Serikali Mkoa wa Mwanza

    Mchakato wa utoaji wa zabuni ya dawa na vifaa tiba kwa hospitali na vituo vya afya vya serikali katika Mkoa wa Mwanza umekumbwa na ukiukwaji mkubwa wa taratibu, ukihusisha maafisa wa Kitengo cha Manunuzi (PMU) cha mkoa huo. Licha ya maboresho yaliyofanyika katika mfumo wa kitaifa wa manunuzi...
Back
Top Bottom