Sawa mkuu nimetembelea Equity,nmb,crdb kwanza wanataka Bank statement iliyopitisha pesa miezi 6 wakati mimi mradi unamiezi miwili lakini pia wanataka dhamana ambayo either ni mali ya kampuni au mmiliki at the same time ndo kwanza najitafuta japo kwenye dhamana sio issue yupo mtu wa kunibeba...
Pole sana bro yawezekana umepigwa mahali. Pole sana!..Si kila anaekuja hapa ni mpigaji kama fikra inavyokwambia ama experience uliyonayo..Usipuuzie uzi wa mtu ila ukiamini hivyo sikuzuui,Asante kwa comment yako uwe na wakati mwema kiongozi.
1.Hapana hazijaungana ambayo inakazi kwasasa ni Cleaning and waste management (Usafi) 2.Nilianza na mtaji wa 20mil na sasa nina 5mil 3.Cash investment ninayohitaji walau 50mil ila isiwe chini 45ml kwasababu investment kubwa natakiwa nifanye ili inizalishie zaidi. 4. CLEANING AND WASTE MANAGEMENT...
Kwasasa shughuli yangu Ni kukusanya na kuchambua hizo malighafi nataka nihamie kwenye kuzirecycle maana kuuza raw material inayoenda kuchakatwa ni tofauti na kuiuza ambayo umeshaichakata mwenyewe ama ambayo umeshaiunda product.
Nipo kwenye tasnia ya waste material nina mkataba wa miaka 4 mikoa tofauti nakutana na malighafi mbalimbali ikiwemo vyuma chakavu, Paper waste, plastic waste n.k nimeanza hatua ya kwanza kufatilia uanzishwaji wa small recycling industry pamoja na production kwa baadhi ya bidhaa,.Nahitaji mdau...
Wadau mimi niliamua kujiajiri rasmi mwaka jana na nikasajili kampuni ya usafi, real estate na usambazaji mwaka huo huo 2023 Aprili. Nilianza hizi harakati tangu nikiwa ajirani nikaandaa ofisi, vifaa na kuanza kusaka kazi.
MUNGU si farujohn mwaka huu mwezi wa 5 nikafanikiwa kupata miradi miwili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.