Rais ni binadamu anachoka pia anamajukumu ya serikali hawezi kwenda huko kote...hongera Sana Magufuli hujawa mlafi umeamua kuwatuma watu wengine wakusaidie baadhi ya majukumu.. wewe ni Rais unaethamin vipaumbele na kipaumbele chako ni wananchi wako.. CCM oyeee..
CCM imejiandaa vizuri Sana, kwa mambo yaliyofanywa na serikali ya Magufuli hayaitaji nguvu Sana kujinadi wananchi wamemkubali na kumuelewa Magufuli pasipo kutumia nguvu hiyo mwandishi unayohitaji..
Umesahau Kama Magufuli bado ni Rais wa nchi, anatakiwa kutekeleza majukumu Kama Rais wa nchi lakin Kama mgombea wa chama Cha mapinduzi.. hilo pia linaitaji wewe kwenda darasani kupambanua.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.