Recent content by anna maria

  1. A

    Bauxite ya mama Anne Kilango sasa inapitia Rombo!

    Wadau mwaka jana mtakumbuka jinsi Mama Kilango alivyopiga kelele kuhusu usafirishaji wa madini ya bauxite kutoka Same kwenda Kenya! Uharibifu mkubwa wa mazingira / uchafuzi wa vyanzo vya maji vilisababisha hadi Waziri Mkuu kuingilia na kuzuia kadhia hii! Cha ajabu sasa,malori yapatayo 30 yenye...
  2. A

    Joseph Selasini wa CHADEMA aondolewa uongozi Kanisa Katoliki DAR

    Hii ni kazi ya Jimbo Kuu la Moshi. Hakika wamemuona mtu huyu hafai kabisa hata kulikaribia kanisa! Tokea mitafaruku iliyotokea wakati wa misiba ya wazazi wake, tabia zake za kugawa ukoo wao, na mbaya zaidi ni ufuska wa kutisha anaofanya na wanafunzi wa sekondari na chuo cha wauguzi...
Back
Top Bottom