Recent content by ANNA BAJAJ

  1. A

    JamiiForums Tanzania Boxer bm 150-2,100,000/-tzs-0715 157732

    sijui juu ya hio mpendwa...mimi ni kampuni ya bajaj... na bidhaaa za bajaj zipo katika makundi mawili,ambayo ni: 1.bajaj mataili matatu-RE 205 new model kwa sasa 2.bajaj mataili mwili-kuna bajaj boxer bm 100,150,kuna bajaj platina 125cc,kuna bajaj pulsar 185 etc
  2. A

    JamiiForums Tanzania Boxer bm 150-2,100,000/-tzs-0715 157732

    kabla ya yote nijue upo wapi n biashara yako ipo hai kweli ndugu?baada ya hapo tunaenda kwenye maandishi yani nione tin number yako ya biashara na duka...kwa idadi nakupa ata mbili sio mpaka ziwe nyiiiiiiingi,lakini kama kuna fulsa pana ya kufanya biashara eneo lako nikithibitisha aah sina hiana...
  3. A

    JamiiForums Tanzania Boxer bm 150-2,100,000/-tzs-0715 157732

    shilingi 5,600,000/-TZS inakuwa na usajili pamoja na plate namba ya njano free 3 service yani kila baada ya kilometa 750 na ukianza na 750 yenyewe kisha 1500 na ya tatu ni 2500 ama 3000 kuna garentiii ya miezi 7 kwa chochote kitakacho aribika ama leta tatizo na ikionekana akitengenezeki...
  4. A

    JamiiForums Tanzania Boxer bm 150-2,100,000/-tzs-0715 157732

    boxer bm 150 rejareja-2,100,000/-tzs jumla-1,920,000/-tzs
Back
Top Bottom