nami ni moja wa walio apply,nimepigiwa simu leo na kuambiwa natakiwa nianze kazi jumatatu ijayo..kama narudia tena kama nitawatumia elfu 80 kwa ajili ya uniform pea mbili maalum kwa hiyo kazi ya customer care....sikufikiria mara mbili kumbe ni wale wa kwetu!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.