Asante ndugu kiboli
Kwa bahati nzuri niko na mtaalam (bwana shamba) ambae ndo atakuwa akiniongoza na pia yeye ana uzoefu tayari. Naamini nitafanikiwa, sitaki kuweka mawazo hasi yatanikatisha tamaa! Nakomaa, na pia nitafata hatua kwa hatua.
Habari ndugu zangu....
Mimi nimeingia kwenye kilimo. Sasa natayarisha shamba kwaajili ys kupanda nyanya, tafadhali naomba msaada kwa ambaye ameshatumia mbegu za ANNA. Je, ni kweli zinazaa miezi nane mfululizo?
Na kuhusu soko, mnanishauri vipi nitafute madalali au niuze mwenyewe maana kuna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.