Kwanza pole sana kwa yaliyo kupata .ila shukuru mungu maana amesha kufunulia yote wazi ,kwanza mkeo ni mshrikina ,pili hakupendi kwa dhati ,alikupendea mali zako ,sasa nakushauri , moja ondoa dhana ya kusema nimependa sana jhilo halipo kupenda unaamua kua sasa napenda ,jaribu kusahau ,ila...