Wanatafutwa wahudumu wawili 2 wa Bar iliyoko Goba jijini Dar-es-Salaam.
Sifa za muhudumu:
1. Awe na Lugha nzuri kwa Wateja
2. Awe na juhudi katika kazi
3. Awe tayari kuishi katika hostel ya mmiliki wa bar kuepusha usumbufu.
4. Awe anatokea mkoa wa Dar es salaam.
5. Awe tayari kufuata...
me pia ninatafta sana sehem kwa ajili ya biashara yangu ya restaurant jaman wataftaji wenzangu naomba unitxt pm kama ukiipata..
bajet yangu ni laki mbili hadi laki tatu.. kwahyo sehem iwe very good
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.