Recent content by Amosi Mgonja

  1. A

    Mbowe: Sijipendekezi kwa Rais Samia, ninachotafuta ni haki

    Kuzungumzia Suala la kutojipendekeza basinalae kimya moka amalize mhula wake Maana Hata hio kusema Katiba Mpya ni kujipendekeza
  2. A

    Hongera Rais Samia Suala la Uwekezaji Nchini

    HONGERA MAMA SAMIA KWA MPANGO WA MAPITIO YA SHERIA 22 KUBORESHA MAZINGIRA YA BIASHARA NA UWEKEZAJI NCHINI Serikali ya Tanzania chini ya uongozi wa Mh.Rais Samia Suluhu Hassan iko katika mchakato wa kushirikisha wadau mbalimbali katika kufanya mapitio ya sheria 22 chini ya Wizara ya Viwanda na...
  3. A

    Tanzania ni Mwanachama Hai Mahakama Haki za Binadamu Afrika

    TANZANIA NI MWANACHAMA HAI WA MAHAKAMA YA HAKI ZA BINADAMU AFRIKA The Diplomat Kumekua na mitazamo hasi inayokosoa kauli ya Waziri wa Mambo ya Nje, Balozi Liberata Mulamula aliyoizungumza jana Mei 25, 2021 Siku ya Afrika Duniani kwa kusema "Tanzania ni mwana chama hai wa Mahakama ya Haki za...
  4. A

    Katibu Mkuu CCM, Daniel Chongolo akutana na kufanya mazungumzo mzee Pius Msekwa

    Katibu Mkuu Apige kazi Wana CCM wapo Tayari kumsikiliza na kumpa sapoti katika kulinda na kutete Chama chao
Back
Top Bottom