Kwa wale wakubwa nawaamkia shikamoo, na kwa wale wadogo zangu nawasalimia habari?
Mimi ni mwanaume nisiyesikia yaani Mimi ni kiziwi ninaitwa Amirosa. Kwa yule yeyote mwenye uwezo wa kifedha nimekuja humu nikuombe msaada wa hela ya mtaji kwa ajili ya kuwalisha kuku vifaranga 70 kwa kuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.