Recent content by Amir sk

  1. A

    KERO Kampuni ya Sea Bus Express acheni utapeli

    Unachukulia kiutani Mzee? Unapofika ofisini kwao unaambiwa gari inaenda Mbeya.Ukiwa njiani ndipo unaambiwa stori za kufaulishwa.
  2. A

    KERO Kampuni ya Sea Bus Express acheni utapeli

    Kampuni ya Sea bus express inayofanya route ya Mwanza to Tabora, wanapakia abiria wa kwenda Mbeya badala ya kuwafaulishia Nzega ili wapite njia ya Dodoma Iringa kama walivyokubaliana wao wanawafaulishia Tabora na kupitia njia ya Chunya ambayo ni Barbara ya vumbi. Nauli ya kutoka Mwanza hadi...
Back
Top Bottom