Recent content by Ambali said

  1. A

    Serikali yatoa kibali ajira mpya za walimu.

    Subra yahitajika jaman tushakaa mda gani tushindwe palipobakia, tukubali na tuamin tu sis ni muhim ktk jamii na muda ukifika tutaitumikia jamii waachen hao waropokaji
  2. A

    Mwigulu Nchemba: Serikali haina fedha kwa ajili ya kuajiri walimu wapya

    Akili yake ndo ilivyomtuma mwacheni adanganye tu ajifurahishe, maana sisi walimu hatuna hofu sana hatakama watachelewa ila si tungali twahitajika.
  3. A

    Nisome kozi gani ambayo inaajira kwa baadae?

    Dogo unapenda computer kusoma na unataka upate ajira haraka sasa mimi kwa ushaur wangu tu fikiria juu ya fani hizi kwa sasa Elimu,Afya na Kilimo na mifugo ukitaka makuu utaishia kuingiza nyimbo kwenye simu na kuchoma CD
  4. A

    Serikali yatoa kibali ajira mpya za walimu.

    Kama ni uongo halafu ikiwa na yeye aliyetoa taarifa anasubiria sasa si atakuwa na yy yumo miongon mwa waliodanganywa faida iko wapi sasa
Back
Top Bottom