Subra yahitajika jaman tushakaa mda gani tushindwe palipobakia, tukubali na tuamin tu sis ni muhim ktk jamii na muda ukifika tutaitumikia jamii waachen hao waropokaji
Dogo unapenda computer kusoma na unataka upate ajira haraka sasa mimi kwa ushaur wangu tu fikiria juu ya fani hizi kwa sasa Elimu,Afya na Kilimo na mifugo ukitaka makuu utaishia kuingiza nyimbo kwenye simu na kuchoma CD
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.