Recent content by Amar14

  1. A

    GE2020 2020 na Uchaguzi Mkuu

    Mabadiliko ni lazima na ushindi ni kwa Tundu Lissu, tumechoka mateso ya ccm miaka Yote, na hii nchi si mali ya ccm ni ya wa Tanzania wote na kila mmoja ana haki ya kumchagulia, ccm tuheshimu maamuzi ya wengi ili Maisha yaendelee.
Back
Top Bottom