hawa wanafiki sana.
Israel imeua watu kwa ma elfu na hakuna hata mmoja alofunguwa kinywa chake.
Wawo wameuwa watu chungu nzima huko Iraq, Libya Na sasa Iran hakuna ano sema kuhusu haku za binaadamu.
Wanataka sisi wa afrika tuuwane waje wachukuwe mali zetu.
Tuna Uranium tuna Nickel hizo ndio...
Ahsa mzigiro ni muislamu na amesha kuwa mzee. Kwa hivyo kaamua kurudi kwa mungu wake.
Na hiyo ni imani yake sio kalazimishwa.
Asha ni msomi zaidi ya Samia.
kama nchi nyingine wanamtumikia Raisi ni wasomi kushinda Raisi.
Hilo halina kutabiri.
Wazanzibari wote hawautaki muungano.
Sasa kazi ni watanganyika kuunga mkono wa Zanzibari katika suala hilo.
Masheik wetu Zanzibar waklikaa ndani miaka 8 kwa sababu walikuwa wana eleza ubaya wa muungano.
Message sent sasa wazanzibari wote wamefahmu.
Zanzibar wameuliwa na...
Mbona waLIKUWA HAWATAKI KUMPA.
Mpaka wanajeshi wameingilia kati ndio akapewa uraisi.
Yeye alikuwa hajuwi kitu.
Kuna watu walikuwa tayari washapanga Raisi wawo.
Lakini alivyo kuwa muungwana hakugombana nawo.
Ina semekana watu wengi wameuliwa majumbani.
Jee hawo walizikwa na nani?
Au waliwapeleka hospitali au motuari.
Na vipi waliuliwa majumbani kiholela au walilengwa yaani hawo wauwaji waliwafata kwa makusudi na kuwapiga.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.