Recent content by amanij

  1. A

    JamiiForums Tanzania Serikali ya Tanzania yadaiwa kuwazuia Wabunge wa Ulaya (EU) Kufanya Ziara Nchini

    sawa mkuu. kwanini hawendi huko. wameshindwa na russia huko ukraiun wanataka mali zetu tuu. nickel, lithium, cobalt, uranium gold nk
  2. A

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Wafadhili waanza kung'ata: EU wapiga kura na kuzuia Euro Milioni 156 kwa Tanzania

    hawa wanafiki sana. Israel imeua watu kwa ma elfu na hakuna hata mmoja alofunguwa kinywa chake. Wawo wameuwa watu chungu nzima huko Iraq, Libya Na sasa Iran hakuna ano sema kuhusu haku za binaadamu. Wanataka sisi wa afrika tuuwane waje wachukuwe mali zetu. Tuna Uranium tuna Nickel hizo ndio...
  3. A

    JamiiForums Tanzania Tungekuwa tuna Rais tayari angekwisha kuja na majibu ya kina kuhusu mradi wa mafuta wa Tanga , na kwanini dangote kapeleka mombasa

    Mwache apeleke Mombasa hata Sudan Msipige kelele tuu mama akapata mfadhili mwingine kutoka Kuwait au Morocco au Oman au Russia
  4. A

    JamiiForums Tanzania Hata yule Mfungwa wa Kike kumbe naye ni ASKARI !! Haya Majama yanayomzunguka Samia ni Majinga ,yanafanana Kila kitu

    sawa wapo kwenye onyesho. lazima wafanye hivyo baada ya onyesho watavuliwa kila kitu.
  5. A

    JamiiForums Tanzania Nani anayemlazimisha Asharose Migiro kuvaa Mahijabu na Mabaibui? Ni kumkosea sana

    Ahsa mzigiro ni muislamu na amesha kuwa mzee. Kwa hivyo kaamua kurudi kwa mungu wake. Na hiyo ni imani yake sio kalazimishwa. Asha ni msomi zaidi ya Samia. kama nchi nyingine wanamtumikia Raisi ni wasomi kushinda Raisi.
  6. A

    JamiiForums Tanzania Kuna dalili za kutaka kumwongezea muhula wa tatu katika Katiba Mpya ya mwaka 2028 ili kukwepa uwajibikaji baadaye

    sawa lakini yeye lengo lake kuwa raisi wa Tanzania
  7. A

    JamiiForums Tanzania Wakili Peter Madeleka: Maigizo ya Bi Samia Suluhu Hassan na wafungwa wavaa heleni, gereza la UKONGA🤪🤪😁

    Ile ilikuwa show au onyesho. Kwa hivyo wafungwa walipewa mavazi na kurembwa ku fanya show ile. Wakimaliza zote zinachukuliwa
  8. A

    JamiiForums Tanzania Tanganyika and Zanzibar: Articles of Union and implementing legislation, with other evidences

    Hilo halina kutabiri. Wazanzibari wote hawautaki muungano. Sasa kazi ni watanganyika kuunga mkono wa Zanzibari katika suala hilo. Masheik wetu Zanzibar waklikaa ndani miaka 8 kwa sababu walikuwa wana eleza ubaya wa muungano. Message sent sasa wazanzibari wote wamefahmu. Zanzibar wameuliwa na...
  9. A

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Madeleka: Tume ya Jaji Chande haikuwa na mamlaka kisheria kumwamrisha pathologist kuchunguza miili ya waliokufa kwa mashaka

    Vipi waliouliwa Zanzibar mbona hakuna tume na hakuna walio tetea
  10. A

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Kwanini TEC hawakutoa ushirikiano kwa Tume ya Jaji Chande?

    Huenda ikwawa ni kweli
  11. A

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Kwa yaliyotokea 29 Okt. 2025, ipo haja ya kuchunguza Kifo cha Pombe Magufuli

    Mbona waLIKUWA HAWATAKI KUMPA. Mpaka wanajeshi wameingilia kati ndio akapewa uraisi. Yeye alikuwa hajuwi kitu. Kuna watu walikuwa tayari washapanga Raisi wawo. Lakini alivyo kuwa muungwana hakugombana nawo.
  12. A

    JamiiForums Tanzania Wafungwa 436 Waachiwa Huru Baada ya Msamaha wa Rais Samia

    Nauliza hii misamaha ya wafungwa inafanyika kwengine duniani au hapa petu Tanzania tu
  13. A

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Bongo Zozo anamzidi akili Jaji Chande(?) Common sense must prevail

    Wewe unajuwa habari hizi za uongo wewe umelipwa ngapi? Maana hata lugha yako siyo ya kitanzania
  14. A

    JamiiForums Tanzania Jaji Chande: Katiba Mpya ipatikane hadi ifikapo 2028. Uchaguzi wa 2030 tuwe na Katiba Mpya

    Tume inasema watu walozikwa na wenyewe ni 400 +
  15. A

    JamiiForums Tanzania Wasiwasi watanda, Tume ya Jaji Chande ikikamilisha ripoti yake

    Ina semekana watu wengi wameuliwa majumbani. Jee hawo walizikwa na nani? Au waliwapeleka hospitali au motuari. Na vipi waliuliwa majumbani kiholela au walilengwa yaani hawo wauwaji waliwafata kwa makusudi na kuwapiga.
Back
Top Bottom