Ina semekana watu wengi wameuliwa majumbani.
Jee hawo walizikwa na nani?
Au waliwapeleka hospitali au motuari.
Na vipi waliuliwa majumbani kiholela au walilengwa yaani hawo wauwaji waliwafata kwa makusudi na kuwapiga.
Haya yote yamo ndani ya katiba. kama hamtaki basi tuyaeleze kwenye katiba.
Nyerer ndio aloanzisha.
Wazanzibari walipinga sana.
Karume mkubwa alipinga na akasema mengine mwisho kisiwa cha Chumbe na mungano kama koti likikubana livue.
Raisi wa pili Jumbe akata serikali tatu, akafukuzwa na kuweka...
Hezbolaa hawakuwepo mwanzoni. Israel iliipiga sana Lebanon na kuchukuwa Ardhi ya lebanon.,
HAWA JAMAA NI RAIA WENYE UCHUNGU NA NCHI YAO WAKAUNDA KIKUNDI KUJIITA HEZBULLAH NA KUPIGANA NA iSRAEL.
WALIWEZA KUREJESHA SEHEMU KUBWA YA ARDHI ILOCHUKULIWA NA ISRAEL.
Sasa watu walo saidia namna hivyo...
Hamas sio magaidi, wana gombania nchi yawo.
Hezbollah sio magaidi wanaitetea Lebanon iliyo chukuliwa na Israel kwa msaada wa US
Houth sio magaidi wandai haki zawo na wanapigwa na kuuliwa na Saudi waki saidiwa ma US
Magaidi ni Israel ilouwa watu , watoto, wazee na kupora nchi ya watu na...
Sisi watanzani ni walji na kujinufaisha kibinafsi. Ndio maana miradi yote ya serikali huwa haiendi sawa.
Dhulma nyingi ndani ya nchi.
Maradi wamwendo kasi sio mradi wa mabasi 50 ni mradi wamabasi zaidi ya 500.
Hakuna kampuni yenyne uzowefu huo..
Kampuni zinazo endesha mabasi za nje hao ndio...
Yeye hakutoiwa Amri.
Walo fanya nipolisi kwa fikra na mafunzo walopata.
Bora kuuwa watu kidogo kuokoa mamillioni ya watu.
Kama dereva wa basi anapo endesha gari, huwa yupo tayari kuponda mtu mmoja ilikunusurisha abiria 100 alowapakia
Utawala wa kikatili ni wa Israel
Maisha magumu ya Iran yamesababishwa na Marekani na wenzake.
Kuweka ugumu a biashara kwa taifa la Iran.
Sabsabu nitaifa tishi o kwa Isreal na hataki falsafa ya Israel kujitanua great Israel
Sheikh tokea mungano kuanzishwa kulikuwa na 4% ya mapato ije Zanzibar . Haijapata kuletwa na hilo ndio kero moja kubwa.
Sasa hizo pesa zina pelekwa na ndio maana sasa kidogo wanajiweza Zanzibar.
Tanzania bara walichukuwa mali nyingi sana za wazanzibari.
Ndio viongozi wanavyotakiwa .
Sio kila kitu wawo
hata ufunguzi wa Meli ya Bakressa wawo.
hii sio sahihi.
wawo waonekanwa katika sehemu nyeti.
EWenzetu wanaokaa ughaibuni sijui kama wanawaona viongozi wawo wakuu kila mara.
Kama umeona basi ninadra sana
Mfano
Ukisema nita kuuwa wewe kumuambia mtu. Baadae yule mtu akafa.
Polisi wata anza na wewe ulotowa kauli
Kauli ya kauli tutakinukisha.Imekuwa kweli Oct 29 jee hapaswi kuungwanisha na yalotokea?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.