Recent content by amanij

  1. A

    Wasiwasi watanda, Tume ya Jaji Chande ikikamilisha ripoti yake

    Ina semekana watu wengi wameuliwa majumbani. Jee hawo walizikwa na nani? Au waliwapeleka hospitali au motuari. Na vipi waliuliwa majumbani kiholela au walilengwa yaani hawo wauwaji waliwafata kwa makusudi na kuwapiga.
  2. A

    Iran ndio Nchi iliokoa Uchumi wa Tanzania wakati wa Msukosuko awamu ya Nyerere na Mwinyi. Ilitusaidia Mafuta na Kutukopesha Matrilioni ya Pesa

    Ndio. Madhumuni ni kuweza kuwa control waisilam NITAJIE Chombo gani kingine cha kidini cha kiserikali baada ya Bakwata.
  3. A

    Hii vita ya mtandaoni Tanganyika na Zanzibar mbona kama imepamba moto

    Haya yote yamo ndani ya katiba. kama hamtaki basi tuyaeleze kwenye katiba. Nyerer ndio aloanzisha. Wazanzibari walipinga sana. Karume mkubwa alipinga na akasema mengine mwisho kisiwa cha Chumbe na mungano kama koti likikubana livue. Raisi wa pili Jumbe akata serikali tatu, akafukuzwa na kuweka...
  4. A

    Magaidi wa Hezboullah wapata kipigo cha Mbwa-koko huko Beiruti

    Wanapewa bure na USA. Waarabu wanailipa US na pesa hizo zinaenda Israel. Leo hii kama mataifa ye west wataiacha mkono haina lakufanya
  5. A

    Magaidi wa Hezboullah wapata kipigo cha Mbwa-koko huko Beiruti

    Hezbolaa hawakuwepo mwanzoni. Israel iliipiga sana Lebanon na kuchukuwa Ardhi ya lebanon., HAWA JAMAA NI RAIA WENYE UCHUNGU NA NCHI YAO WAKAUNDA KIKUNDI KUJIITA HEZBULLAH NA KUPIGANA NA iSRAEL. WALIWEZA KUREJESHA SEHEMU KUBWA YA ARDHI ILOCHUKULIWA NA ISRAEL. Sasa watu walo saidia namna hivyo...
  6. A

    Je, ni Dkt. Samia ndio haliamini Jeshi au kuna hali ya hatari ndani ya Jeshi?

    Tumshukuru mungu kuwa Jeshi lipo na serikali lakini siku jeshi likichukuwa nchi basi mujuwe kuwa kila muda mfupi ya takuwa mapinduzi.
  7. A

    Kwa mara ya kwanza natofautiana na Mange Kimambi juu ya msimamo wa Iran

    Hamas sio magaidi, wana gombania nchi yawo. Hezbollah sio magaidi wanaitetea Lebanon iliyo chukuliwa na Israel kwa msaada wa US Houth sio magaidi wandai haki zawo na wanapigwa na kuuliwa na Saudi waki saidiwa ma US Magaidi ni Israel ilouwa watu , watoto, wazee na kupora nchi ya watu na...
  8. A

    Mama, mpaka mwendokasi unawapa waarabu?🤦🏾‍♂️😳

    Sisi watanzani ni walji na kujinufaisha kibinafsi. Ndio maana miradi yote ya serikali huwa haiendi sawa. Dhulma nyingi ndani ya nchi. Maradi wamwendo kasi sio mradi wa mabasi 50 ni mradi wamabasi zaidi ya 500. Hakuna kampuni yenyne uzowefu huo.. Kampuni zinazo endesha mabasi za nje hao ndio...
  9. A

    PostGE2025 Ukweli ni kwamba amri ya kuua waandamanaji wasiokuwa na silaha ilitoka kwa Amiri Jeshi Mkuu, Ndugu Samia Suluhu

    Yeye hakutoiwa Amri. Walo fanya nipolisi kwa fikra na mafunzo walopata. Bora kuuwa watu kidogo kuokoa mamillioni ya watu. Kama dereva wa basi anapo endesha gari, huwa yupo tayari kuponda mtu mmoja ilikunusurisha abiria 100 alowapakia
  10. A

    Epstein alipomuua Khamenei

    Utawala wa kikatili ni wa Israel Maisha magumu ya Iran yamesababishwa na Marekani na wenzake. Kuweka ugumu a biashara kwa taifa la Iran. Sabsabu nitaifa tishi o kwa Isreal na hataki falsafa ya Israel kujitanua great Israel
  11. A

    Makubaliano yamefanywa Muungano umevunjwa rasmi bila maandishi wala tangazo na Zanzibar inaruhusiwa kujifanyia kila kitu isipokuwa kuwa na jeshi

    Sheikh tokea mungano kuanzishwa kulikuwa na 4% ya mapato ije Zanzibar . Haijapata kuletwa na hilo ndio kero moja kubwa. Sasa hizo pesa zina pelekwa na ndio maana sasa kidogo wanajiweza Zanzibar. Tanzania bara walichukuwa mali nyingi sana za wazanzibari.
  12. A

    Kwa mlioko ndani mtusaidie. Kwanini viongozi wakubwa wanajificha ficha?

    Ndio viongozi wanavyotakiwa . Sio kila kitu wawo hata ufunguzi wa Meli ya Bakressa wawo. hii sio sahihi. wawo waonekanwa katika sehemu nyeti. EWenzetu wanaokaa ughaibuni sijui kama wanawaona viongozi wawo wakuu kila mara. Kama umeona basi ninadra sana
  13. A

    Masauni atoa rai kwa wabunge kupinga upotoshaji kuhusu Muungano

    Mungano huu ndio ulotowa mauaji ya wakati wa mkapa
  14. A

    Pascal Mayalla: Kusema Tutakinukisha au kuandamana sio uhaini; nasema kama mwanasheria

    Mfano Ukisema nita kuuwa wewe kumuambia mtu. Baadae yule mtu akafa. Polisi wata anza na wewe ulotowa kauli Kauli ya kauli tutakinukisha.Imekuwa kweli Oct 29 jee hapaswi kuungwanisha na yalotokea?
  15. A

    Mwigulu kukabidhi miundombinu ya utalii

    Kwani ulitegemea itakuwa milele. Advartisement inakuwa kwa muda tu.
Back
Top Bottom