Hakuna anayetaka kuvunja muungano
sio CUF wala ACT
Wanasema muungano tulokwa nawo unakasoro nyingi tuzirekebishe.
Kunawatu katika system wanataka nchi moja kuuwa zanzibar kama inavyotakiwa kuuliwa Palestine.
Wazanzibari hilo hwalikubaki, wanataka Zanzibar ibaki.
Sasa kama Tanganyika irudi na...
Wanao andaa maandamano waseme zane :
marufuku:
kuchukuwa jiwe au mawe
Kisu au panga
rungu
chupa au aina yoyote ya kitu kitakachotumika kama silaha.
kuvamia watu au kuvunja maduka
Kuharibu mali za watu au mali ya taifa.
Kuwapa nafasi wale wote walokuwa hawashiriki maandamano kuendelea na kazi...
Sawa
Tanzania kuna serikali mbili
kwa maana hiyo kuna bajeti mbili
serikali ya Zanzibar na bajet yake ya watu 1.5 millioni
Serikali ya Muungano Tanzania na bajet yake ya watu millioni 60.
katika katiba inasema wazanzibari wote ni watanzania lakini si watanzani wote ni wazanzibari.
Ikiwa bajet...
Mie nataka munifahamishe vipi Raisi kawa muuaji?
Kila chombo kina viongozi wake.
Polisi kuna makamamnda halafu mawaziri halafu Waziri mkku Halafu Raisi.
Lakini mnaruka na kusema raisi ndio muuaji HOW?
Nchi nyingi diniani yakitokea hayo mambo huelekezwa kwa wanao husika yaani mawaziri na...
hawa wanafiki sana.
Israel imeua watu kwa ma elfu na hakuna hata mmoja alofunguwa kinywa chake.
Wawo wameuwa watu chungu nzima huko Iraq, Libya Na sasa Iran hakuna ano sema kuhusu haku za binaadamu.
Wanataka sisi wa afrika tuuwane waje wachukuwe mali zetu.
Tuna Uranium tuna Nickel hizo ndio...
Ahsa mzigiro ni muislamu na amesha kuwa mzee. Kwa hivyo kaamua kurudi kwa mungu wake.
Na hiyo ni imani yake sio kalazimishwa.
Asha ni msomi zaidi ya Samia.
kama nchi nyingine wanamtumikia Raisi ni wasomi kushinda Raisi.
Hilo halina kutabiri.
Wazanzibari wote hawautaki muungano.
Sasa kazi ni watanganyika kuunga mkono wa Zanzibari katika suala hilo.
Masheik wetu Zanzibar waklikaa ndani miaka 8 kwa sababu walikuwa wana eleza ubaya wa muungano.
Message sent sasa wazanzibari wote wamefahmu.
Zanzibar wameuliwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.