Recent content by Amani na Upendo

  1. A

    Mama Dorothy Gwajima suala la ushoga hulioni? Mbona linazidi kushika kasi? Umenyamazishwa?

    Hivi kwa nini tunapiga kelele sana juu ya ushoga lakini wengi wetu tunaona Ufiraji ni kitu cha kawaida..
  2. A

    Ni nani huwa anamwandikia Samia hotuba? Naona anaboronga tu

    Tatizo la Uongozi wa Samia na watu aliowaweka karibu nae ni vile wametengeneza himaya na kujiaminisha kuwa wanamlinda Samia,kwa kufanya hivyo wanamuharibia na kutweza utu wake sana.Kuna mambo hawataki Samia ajue ukweli wa mambo ulivyo,mfano ni ile speech yake kwa Wazee baada ya Uchaguzi.Samia...
  3. A

    Ni nani huwa anamwandikia Samia hotuba? Naona anaboronga tu

    Mkuu,Hamna Watanzania wanachoweza kubadili??Mbona tayari mnalipia PR ,tena Kampuni ya Marekani ili isafishe mambo.Watanzania hawa mnaowaogopa na tumia propaganda kibao kuwagawa,kutengeneza vyama vya upinzani fake,na stress kibao wanazowapa unasema hawana wanachoweza kubadili??Watanzania hawa...
  4. A

    Tunapozungumzia utendaji Serikalini, msisitizo ni uadilifu na uwajibikaji wa Serikali kwa wananchi waliotuchagua ili - Waziri Mkuu Mwigulu Nchemba

    Maneno matamu ili kuwatuliza Watanzania.Matendo na Maneno au slogans kama Kazi na Utu ambazo hazireflect uhalisia wa kile kichaendelea Tanzania ni Hadaa na udanganyifu.Matendo yanatoa taarifa za yale ambayo ni Muhimu kwa Serikali..Watu wasio waadilifu wako Serikalini na bado wanapewa teuzi kila...
  5. A

    Kenani Kihongosi: Hatutahangaika kujibu Propaganda wala kutukana

    CCM wao ndio wamekuwa mstari wa mbele wa kufanya Propaganda..Projection ndio silaha yao..Wanashutumu wengine juu ya mambo ambayo wao CCM ndio wanayafanya,Mabaya yao wanasogezea wengine.Wanafanya hivyo kukwepa kuwajibishwa,kupumbaza watu na kuondoa fucus kutoka kwenye maovu yao then Wanatengeneza...
  6. A

    PostGE2025 Tanzania kutumia takribani Sh. Bilioni 2.7 kukodi Kampuni ya Marekani ili ‘Kurekebisha Taswira ya Nchi’ baada ya Mgogoro wa Uchaguzi

    Kupoteza muda kufanya crisis management kwa kuanzisha Wizara ya Vijana, kukamata watu ambao hawana hatia na kuwapa kesi feki za Uhaini halafu unasema tumewapa msamaha ni michezo ya Siasa chafu ya jinsi ya kufake upatanisho. Kila kitu kiko wazi, siku hizi Watanzania wanasoma.
  7. A

    PostGE2025 Tanzania kutumia takribani Sh. Bilioni 2.7 kukodi Kampuni ya Marekani ili ‘Kurekebisha Taswira ya Nchi’ baada ya Mgogoro wa Uchaguzi

    Mpaka sasa karibu kila mtu anafahamu crisis management inayofanyika.. Wanapoteza Pesa nyingi kufanya PR laundering, wamejaribu kubadilisha story kwa kuita kilichotokea tarehe 29 Vurugu, binafsi naona imeshindakana. Wamejaribu kufanya distraction na kufanya tupoteze munkari wakuongelea...
  8. A

    PostGE2025 DW yathibitisha aina ya Risasi zilizotumika kwenye mauaji ya Oktoba 29, 2025 zilikuwa ni za Polisi na Jeshi la Tanzania

    Wanataka tuache kuongelea kilichotokea tarehe 29 October,account fake nyingi sana zimemwaga kwenye Social Media kwa kazi Maalumu.Makonda anataka extra Bilion Mbili
  9. A

    Balozi Humphrey Polepole alitekwa na kupotezwa. Ajabu, Serikali ya aliyekuwa kamteua iko kimya

    Hivi wakati wanavakia nyumba ya Polepole Ina kaana majirani hawakusikia kelele hata kidogo?Au walilipwa na kuambiwa wabaki kimya mpaka zoezi likamilike?
  10. A

    PostGE2025 Imeandaliwa Task force maalumu kuwaandaa vijana waseme walilipwa kufanya maandamano Oktoba 29

    Hii wameiga kwa Ruto 🇰🇪,Ruto alikuja na accusation kuwa Ford Foundation wamewalipa waandamanaji,Ford Foundation walikanusha na Aljazeera walisema Ruto alikuwa anakwepa kuwajibishwa.Wanataka kukwepa uwajibikaji na pia kutaka Watanzania wasiwaamini wanaohamasisha watu kuandamana
  11. A

    PostGE2025 Kwanini Mwigulu anakomalia "waandamanaji walikuwa na silaha"? Je, anabumba maneno hayo ili kutoa mwanya wa mauaji ya raia mpaka majumbani?

    Tusikubali kubadilisha muelekeo wa majadiliano na pia ni muhimu kupuuzia hizi chaos wanazozitengeze ili kutuvuruga..
  12. A

    PostGE2025 Kwanini Mwigulu anakomalia "waandamanaji walikuwa na silaha"? Je, anabumba maneno hayo ili kutoa mwanya wa mauaji ya raia mpaka majumbani?

    Yes,Mara walikuwa hawajui Kiswahili Mara waandamanaji walikuwa na silaha,video ziko online,watalipa watu fedha ili wanunue kesi ila kipindi hiki hawawezi,Watanzania wamejifunza jinsi ya kupambana na uovu wa CCM,wanafahamu kuwa Ushahidi ni muhimu sana..
  13. A

    PostGE2025 Kwanini Mwigulu anakomalia "waandamanaji walikuwa na silaha"? Je, anabumba maneno hayo ili kutoa mwanya wa mauaji ya raia mpaka majumbani?

    Yupo kwenye mkakati kubadilisha “Narrative”Lengo lake ni kufanya waliokuwa wanaandamana ndio walikuwa wauwaji na waharibifu wa rasilimali za Nnchi,ndio maana Mwigulu na CCM wote wanakazia hizo point,wale wauwaji wenye silaha hawaguswi wala kuongelewa,wakiwaongelea wanawafanya ni Wahanga,Polisi...
  14. A

    Risiti hizi hapa za Maaskofu walipolaani mauaji Kibiti, Mauaji ya Pemba 2001, hata Magufuli Mkatoliki mwenzao hawakumuacha

    Hao wanaipinga mpaka Quran takatifu,Quran ipo wazi linapokuja suala la Haki,na nini kianze kati ya Amani au Haki,lakini wao Bakwata wanapinga…Wanatumika kama vile Mwamposa na wengine wanavyotumika,tusiwaingize Waislamu wote kwenye hizi mambo,pia hawa waliotumwa online kusambaza huu upuuzi nao...
  15. A

    Risiti hizi hapa za Maaskofu walipolaani mauaji Kibiti, Mauaji ya Pemba 2001, hata Magufuli Mkatoliki mwenzao hawakumuacha

    Tatizo hata ukiweka ukweli wao bado watapinga,tunapambana na watu ambao facts hazina maaana yoyote kwao,si tu hawa Bakwata,CCM na Serikali yao wote hiyo ndio tactic yao,Kila kitu wao wanapinga na kujifanya wao ndio Wahanga na Wahanga ndio wenye tatizo,Tupambane kuelimisha Watanzania wenzetu ili...
Back
Top Bottom