Huo ndio uhalisia wa timu yenu bila ndumba haiendi ila ukweli ni kwamba mkikutana na timu ambayo ni ngumu na wana uzoefu hautoboi tutaona kama utavuka robo kwa style hiii
Nyie kama nani mpaka mtulazimishe kumuachia mzize yanga wenyewe wana malengo yao yaaani umuuzie silaha adui yako embu msitake kulazimisha mambo tengenezeni timu yenu ajiri wachezaji halafu muwauze kiholela
Kama mechi moja ina reflect timu moja kuwa bingwa basi hata singida black stars watakuwa bingwa kama mlivyojiwekea maaana na yeye kashinda 3-1 na mpira mzuri wana kiwango hata msimu uliopita simba alishinda mechi ya kwanza jee alichukua bingwa ngoja tuone baaada ya round ya kwanza kuisha hiii...
Ogopa sana kuwa mjinga wakati una akili zako timamu,Na ogopa sana kuwa mtumwa wakati uwezo wa kujitegemea unao.Ni wivu tu ambao umejaa na husda ambazo zinawatafuna Nzala ambao hawana wanachokijua.Topic kubwa wiki mbili zilizopita Nzala wengi walisema Clatous Chama ni mchezaji ambaye hakuna...
𝗠𝗔𝗕𝗜𝗡𝗚𝗪𝗔 𝗪𝗔 𝗡𝗖𝗛𝗜
Ogopa sana kuwa mjinga wakati una akili zako timamu,Na ogopa sana kuwa mtumwa wakati uwezo wa kujitegemea unao.Ni wivu tu ambao umejaa na husda ambazo zinawatafuna Nzala ambao hawana wanachokijua.Topic kubwa wiki mbili zilizopita Nzala wengi walisema Clatous Chama ni mchezaji...
Mechi za kimataifa kufungwa nje ndani na alahly kutoshinda game hata moja hatua ya makundi ni figisu za board ya ligi wasilete sababu zisizokuwa na mashiko wala maaana
HABARI WANA YANGA!?
Leo tumeshuhudia wote makundi yalivyopangwa..Tumeona Yanga vs Mamelodi. ...pasipo kuogopa uwekezaji wao kama club !! lakin hata sisi Yanga tuna uwezo mkubwa ...uwezo wetu unaanzia kwenye mfumo wa uendeshaji wa Club yetu..Yanga sc...Tumepata viongoz wachapa kazi na wabunifu...
Wakati yanga ilivyofungwa na belouizdad algeria watu wakasema hatuwezi kwenda popote pale kipindi hicho kwann hukuanzisha nyuzi yoyote ile simba walivyoanza kutuponda
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.