Recent content by Amafumu2

  1. A

    TBA na EWURA CCC kitengo cha walaji zifumuliwe haraka au zifutwe kabisa

    Ni mradi upi wameboronga kaka weka mifano. Na unapotoa mifano uweke na cash flow ilivyokuwa.....maake isije kuwa serikali hailipi kwa wakati halafu uwatake TBA wakamilishe ujenzi kwa wakati
  2. A

    Plot4Sale Viwanja vinauzwa Kigamboni

    1. Viko umbali wa 4km kutoka lami au 4km kutoka Dar es Salaam Zoo au 14km kutoka Kibada centre ama 23km kutoka ferry 2. Vimepimwa tayari kwa hati 3. Unaweza lipia hadi hati halafu tukakutafutia 4. Barabara pana za size ya mita 15 hadi mita 30 kwa upana 5. Umeme umefika 6. Bei zetu ni...
  3. A

    TBA na EWURA CCC kitengo cha walaji zifumuliwe haraka au zifutwe kabisa

    Miradi yote ipi? Ndugu yangu mambo ya nchi/serikali sio rahisi kuyajua Na sio unayoyaona basi unayajua. TBA katika taasisi zilizofanya vyema 2015 to 2020 imo kwa taarifa ya serikali. Fuatilia hata taarifa ya CAG utaona hii taasisi imeboronga au la Mimi naifahamu TBA kwasababu kuna mahali...
  4. A

    TBA na EWURA CCC kitengo cha walaji zifumuliwe haraka au zifutwe kabisa

    Nimekusoma ila sijaelewa unajadili nini? Unajaribu kuumbia umma unazijua taasisi hizi mbili halafu hujui chochote. Watanzania acheni kuimba ngonjera jielimisheni mambo muwe mnayajua kiundani. TBA hawezi kupewa kazi ya ukandarasi kama sio Mkandarasi ungelijua hili usingesema neno. Mimi siko...
Back
Top Bottom