Kujua evolution ndogo ndogo kama hizo (kama zipo) bado hakuondoi uwepo wa Mungu.
Je kama Mungu aliruhusu some kind of tiny evolutions kwa sababu mbalimbali?
Yaani kwa nini tumuondoe Mungu wakati tunapoongelea evolutions? Kwani haviwezi kuwa pamoja?
Nothing makes more logic than creation. Mageuzi ni muujiza haswaa.
Ni rahisi kuamini creation kuliko kuamini evolution.
Chaos can not create order.
Give me one verifiable evidence where Chaos (Randomness) has created Order! Only 1. Any 1. Please. Then, I will accept.
Kwani ni lazima tufanane na Mungu kimaumbile?
Sijawahi kumuona Mungu, sidhani kama tunafanana kimaumbile, ila nachojua ni kuwa kufanana ni zaidi ya maumbile.
Tumefanana na Mungu katika utashi na uwezo wa kujua jema na baya.
Mambo mengine Mungu ameyaacha ili tuya explore.
Tatizo la wanasayansi ni kuwa kila waki explore badala ya kumuamini Mungu, wanampinga.
Wanahisi kama wamevumbua wao wenyewe bila msaada wa Mungu.
Kwa kifupi una support evolution.
Evolution is not a fact, its a theory.
Mtu kutunga theories na philosophies zinazovutia hakufanyi theory kuwa uhalisia.
Mtu kutunga hadithi nzuri sana hakumaanishi kuwa matukio ya kwenye hadithi yamewahi kutokea.
Evolution is still a theory, not a FACT...
Sayansi haitakuja kujua majibu ya maswali. Na ikija kuyajua itakiri kuwa kuna intelligence in creating all these! Which will directly prove that God exists.
Randomness can not create intelligence. Only intelligence creates intelligence.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.