Recent content by alujaru

  1. alujaru

    Natafuta mke mwema

    sifa zangu ni: Mrefu six feet, mweusi wastani, mkristo safi, msomi, mwembamba wastani sifa zake awe; mweupe, si mfupi awe wastani au mrefu, mkristo safi, msomi kuanzia diploma au zaidi, awe ameajiriwa na anaejitegemea kimaisha mwenye uhuru wake. Hana mtoto, kupima ni lazima kama kawaida...
  2. alujaru

    I am in need of a virtuous wife,

    nikivamiwa dada yangu, maisha yenyewe ya bongo si unayajua lakini mbona hunihurumii mwenzio? tabu zote hizi we uanike mali zako hadharani watu watakuchukuliaje?
  3. alujaru

    I am in need of a virtuous wife,

    i am a moderately black six feet man, aged 30-35, and moderately black colored, i am a little thin . I am a tanzania of certain tribe(only the interested will get to know),i am a committed christian and a graduate sec teacher,i am full of love that have no user, here i come to humbly...
  4. alujaru

    Natafuta mke wa ndoa bado jamani,

    polepole , tutafika tu.
  5. alujaru

    Natafuta mke wa ndoa bado.

    mwasheli mwenzio nikiona weupe napagawa japo basi asiwe mweusi awe mng'ao fulani hapo kati ,kama ni mrembo anaweza akanimaliza.
  6. alujaru

    Natafuta mke wa ndoa bado jamani,

    lazima ujue kutema yai, si mchezo dada!
  7. alujaru

    Natafuta mke wa ndoa bado jamani,

    hta wewe kama unakubali posa si unahamishwa tu mwanamke ni maelewano tu popote atapelekwa ilimradi amani !
  8. alujaru

    Natafuta mke wa ndoa bado jamani,

    kwa nini?
  9. alujaru

    Natafuta mke wa ndoa bado jamani,

    FOR INTRODUCTION KUSEMA I AM 30+ INATOSHA ,ANAEPENDEZEWA KUELEWA ZAIDI TOKEA HAPO ATAELEWA ZAIDI KWENYE PERSON TO PERSON COMMUNICATION, HATA UKIPITA DUKANI HAKUNA NAMNA UTAIONA NGUO VIZURI MPAKA UINGIE NDANI UKAISHIKE MWENYEWE, SO" ADVERTISEMENT CANT SATISFY YOU BUT MAKE YOU THIRSTY TO BUY"...
  10. alujaru

    Natafuta mke wa ndoa bado jamani,

    Hi sisters! i have not succeeded yet hence i here present my request for love again, i am a young man aged 30-35, six feet tall, not white but not too black -somewhat brown,i am a little thin, am a committed Christian, and an employed guy. here i am presenting an invitation to any girl with the...
  11. alujaru

    Uzoefu wako baada ya kuachana na mpenzi wako uliyekuwa unampenda sana

    kuna wengine majini jamani,sasa huwa uongo kwenye mapenzi upo lakini kiwango cha uongo kama hicho nadhani ni level za shetani mwenyewe hasa ukiangalia product yake,devastating kwa kweli imenitouch sana!
  12. alujaru

    Natafuta mke wa ndoa bado.

    asante nimeona!
  13. alujaru

    Natafuta mke wa ndoa bado.

    love peace amenikumbusha kitu muhimu sana nilisahau ,mimi ni 30-35, lakini kwa ushauri wa mwashelii mi naona mwenye vigezo hivyo hata angekuwa kabila gani huyo ni mtu tayari anaequalify maana atakuwa anafaa kwangu ; usihofu mi nimepunguza uzembe vya kutosha .
Back
Top Bottom