sifa zangu ni:
Mrefu six feet, mweusi wastani, mkristo safi, msomi, mwembamba wastani
sifa zake awe;
mweupe, si mfupi awe wastani au mrefu, mkristo safi, msomi kuanzia diploma au zaidi,
awe ameajiriwa na anaejitegemea kimaisha mwenye uhuru wake. Hana mtoto,
kupima ni lazima kama kawaida...
nikivamiwa dada yangu, maisha yenyewe ya bongo si unayajua lakini mbona hunihurumii mwenzio? tabu zote hizi we uanike mali zako hadharani watu watakuchukuliaje?
i am a moderately black six feet man, aged 30-35, and moderately black colored, i am a little thin . I am a tanzania of certain tribe(only the interested will get to know),i am a committed christian and a graduate sec teacher,i am full of love that have no user, here i come to humbly...
FOR INTRODUCTION KUSEMA I AM 30+ INATOSHA ,ANAEPENDEZEWA KUELEWA ZAIDI TOKEA HAPO ATAELEWA ZAIDI KWENYE PERSON TO PERSON COMMUNICATION, HATA UKIPITA DUKANI HAKUNA NAMNA UTAIONA NGUO VIZURI MPAKA UINGIE NDANI UKAISHIKE MWENYEWE, SO" ADVERTISEMENT CANT SATISFY YOU BUT MAKE YOU THIRSTY TO BUY"...
Hi sisters!
i have not succeeded yet hence i here present my request for love again,
i am a young man aged 30-35, six feet tall, not white but not too black -somewhat brown,i am a little thin, am a committed Christian, and an employed guy. here i am presenting an invitation to any girl with the...
kuna wengine majini jamani,sasa huwa uongo kwenye mapenzi upo lakini kiwango cha uongo kama hicho nadhani ni level za shetani mwenyewe hasa ukiangalia product yake,devastating kwa kweli imenitouch sana!
love peace amenikumbusha kitu muhimu sana nilisahau ,mimi ni 30-35, lakini kwa ushauri wa mwashelii mi naona mwenye vigezo hivyo hata angekuwa kabila gani huyo ni mtu tayari anaequalify maana atakuwa anafaa kwangu ; usihofu mi nimepunguza uzembe vya kutosha .
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.