Huyu jamaa swala lake lisipofanyiwa kazi haraka atakuwa mwiba kwa ukawa. Kinachoshangaza hata kama kweli source ni hayo magzt ya mrengo fulani mbona asijitokeze kupinga hadharani. Ni bora ukawa iamue either kumwondoa kabisa na kubadili mindset kuwa tunaweza hata bila slaa. Au kama bado ni...
Tatizo lake ni ukimya anaouonyesha. Hamna mtu anayemlazimisha akubaliane na uamuzi wa kumpokea Lowasa. Bali watu wanapenda kujua msimamo wake ukizingatia cheo chake ndani ya chama. Anatakiwa either akatae maamuzi hayo aondoke au akubaliane na wengi ndani ya chama na ampe support EL. Kuwa neutral...
Katika hali ya kawaida ibara hiyo hasa imekaa kulinda maslahi ya chama tawala. Lakini hata nchi zilizong'oa vyama vilivyokaa muda mrefu madarakani vilifanya hivo ndani ya mazingira magumu kama hayo. Swala la msingi ni kutafuta namna ya kura kuzidi kwa wingi hadi kupendelea ishindikane. Lakn...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.