me naona umefika muda wa media kuwalipa wasanii na c kinyume chake.clouds nawachukia sana kwa tabia zao za kulazimisha heshima tena sana ni ruge. Kama kazi imemshinda astaafu akapumzike.na aone aibu kushindana na mwanamke vita ya maneno. Team anakonda ni mziki mwingine ajipange kuipoteza big up...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.