Ni dhahiri Chadema wamechagua upande wa wafanya siasa UCHWARA.
Huwezi kujenga chama chako kwa kuwatumia vijana wasio na akili na maarifa.
Kwa style hiyo ya kuwatumia vijana kichwa mchunga Chadema inakwenda kupotea kwenye uso wa siasa za Tanzania.
Ali Mkwavingwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.