Recent content by alfanjr

  1. A

    KERO NHIF wanasitisha vifurushi vya wanachuo kabla ya muda na kupelekea wakose huduma

    Habarini wanajamvi natumaini mpo salama. Kuna hii ishu ya NHIF kuwahi kukatisha muda wa subscription ya BIMA za wanafunzi wa chuo cha UDSM ambapo BIMA zilitakiwa ziishe mwezi wa 11 badala yake zimekatishwa na kumalizia Oktoba 8. Hii imeleta changamoto kwa watumiaji wa Bima hizi kwani wengi...
  2. A

    Msaada - tatizo la vipele visivyo washa kifuani na mgongoni

    kaka habari hio changamoto ya vipele mgongoni ma kifuani visivyowasha imenikuta leo kaka naomba kupata mrejesho wako ulitimia dawa gan mpaka ukawa sawa
Back
Top Bottom