Recent content by alextechs

  1. alextechs

    Maeneo gani hapa Dar yanafaa kwa biashara ya nafaka na mafuta ya kupikia

    Naomba mnishauri ni maeneo gani hapa Dar yanafaa kuanzisha biashara ya nafaka na mafuta ya kupikia kwa jumla na Rejareja? Nimepata mtaji 10M nataka nianzishe store ya kuuza nafaka but naomba ushauri kujua ni maeneo gani yanafaa zaidi kwa hapa Dar.
Back
Top Bottom