Recent content by AlexOnesmo

  1. AlexOnesmo

    SoC03 Kulinda amani ya nchi

    Ili tuendelee kuilinda amani ya nchi yetu, Kwanza kabisa viongozi wa nchi wanatakiwa wawe waadilifu, waaminifu pia wawe na hofu ya MUNGU kwa lolote wanalolifanya ili kuwatumi wananchi wao. Watakapokuwa na hofu ya MUNGU wataogopa kufanya kinyume au kwenda tofauti na sheria za...
  2. AlexOnesmo

    SoC03 Maendeleo huja kwa kushikamana

    Ili maendeleo yawepo ndani ya nchi viongozi wanatakiwa wawe kitu kimoja bila kujali siasa, udini, ukabila, pia upendeleo. Nchi inapaswa kuwa na viongozi waliowadilifu, wenye kujituma na wenye chachu ya maendeleo ya nchi yao, na ili kupata hayo yote wananchi wanatakiwa waweze kuchagua kiongozi...
Back
Top Bottom