nyie ndo walewale mnaotanguliza uanachama kila sehemu
Lissu wenu ni mjings kwa hyo sku zote watu wanaoendana akili lazima wasapotiane ata kama ni mambo ya kijinga
Sent using Jamii Forums mobile app
TUNDU LISSU kweli unaumwa yani hauko timamu totally
ivi kwa mwanadamu mwenye akili unaweza ukatumia msiba kama chanzo cha kuonesha chuki zako za kisiasa!!!!
unadanganya kua unaumwa watu wanakuchangia ela wakifkiri ni ela za matibabu kumbe unataka ela za kwenda kuchafulia jina jina la nchi!!
et...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.