Recent content by ALEVAMI

  1. A

    JamiiForums Tanzania Mungu ni mmoja na Sisi kama watu tunaishi mfumo wa kimaendeleo ambao unamtukuza Mungu

    Wewe unadhani labda unachofanya kina mantiki ila hujui jinsi gani wewe uko giza lako binafsi la kujitakia
  2. A

    JamiiForums Tanzania Mungu ni mmoja na Sisi kama watu tunaishi mfumo wa kimaendeleo ambao unamtukuza Mungu

    Wewe ni chizi, unaelewa maana ya Serikali ?Mara ya kwanza katika Maisha yako umeijua Serikali wapi na kwa nguvu ya wakina nani?
  3. A

    JamiiForums Tanzania Mungu ni mmoja na Sisi kama watu tunaishi mfumo wa kimaendeleo ambao unamtukuza Mungu

    Najua Mungu ni mmoja na Sisi kama watu tunaishi mfumo wa kimaendeleo ambao unamtukuza Mungu kwa kushirikiana na kusaidiana kiutendaji kutimiza lengo la Mungu kikazi, kimaendeleo, fursa na riziki ndiyo maana tumekua ndugu na marafiki na Leo hii tunawasiliana kwa mipango ya Mungu.
  4. A

    JamiiForums Tanzania Putin na Hassan combination hii inamaana gani?Samia ni Mama

    Mheshimiwa Rais Vladimir Putin mnadhani hajui kilichotokea Oktoba 2025 lakini jibu ni simple tu. UKweli ni Kilichotekea ni sheria imefanya kazi yake na ndiyo maana kaungwa mkono na Mheshimiwa Rais Vladimir Putin .
  5. A

    JamiiForums Tanzania Watanzania tunaompenda, kumjali na kumthamini bila kujificha Rais Samia

    Changamoto iliyotokea inatokana na mfumo dume.Mpaka Mheshimiwa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan anapata Urais matokeo yake sio wapinzani tu hata Wana CCM wengine hawakutaka Mama Samia aongoze kwa hiyo hilo jambo likawa nafasi nzuri kwa wapinzani na wanaomchukia kufanya mipango ya kumuondoa na...
  6. A

    JamiiForums Tanzania Watanzania tunaompenda, kumjali na kumthamini bila kujificha Rais Samia

    Wewe ulitaka Mheshimiwa Rais awe nani ?
  7. A

    JamiiForums Tanzania Watanzania tunaompenda, kumjali na kumthamini bila kujificha Rais Samia

    Watanzania tunapata taarifa tunizipokea haraka bila kuchanganua kwa kina na kuangalia uhalisia na kufanya maamuzi na matendo yasiyofaa kwenye Jamii kwa kuwa tu wapo kwenye changamoto na sehemu pa kuhegemea ni pabaya na kufanya maamuzi ya kuhegemea kwenye kutaka kupindia Serikali ya Mheshimiwa...
  8. A

    JamiiForums Tanzania Watanzania tunaompenda, kumjali na kumthamini bila kujificha Rais Samia

    Hakuna asiyewaza tumbo lake hichi ni cha kwanza ujue na hakuna anayefanya kazi bila Maslahi. Ukweli ninaopaswa kukupasha ni kwamba kuendesha nchi ni kazi ngumu Kutokana na watu kama wewe lakini tumezoea kosa ambalo tulifanya ni kuacha ujinga utambae hili ni kosa ambalo hatutafanya tena.
  9. A

    JamiiForums Tanzania Watanzania tunaompenda, kumjali na kumthamini bila kujificha Rais Samia

    Wote nyie mnadhani riziki anawapa Mheshimiwa Rais Dkt Samia tengenezeni fursa wenyewe na ndiyo hapo Mungu kupitia Serikali ya Rais anakupa riziki. AMKENI.
  10. A

    JamiiForums Tanzania Watanzania tunaompenda, kumjali na kumthamini bila kujificha Rais Samia

    CCM hatujakamilika lakini tunapigania usahihi toka mwanzo lakini usisahau wanaoongozwa wengine ni wa binafsi na wabaya na lengo lao ni kuona hata kuna vita hii nchi nao ndiyo waliowatumia gen z kwa Maslahi yao na wala siyo yako wewe Mwananchi.
  11. A

    JamiiForums Tanzania Watanzania tunaompenda, kumjali na kumthamini bila kujificha Rais Samia

    Mungu yupo pamoja nasi wala hatuna cha kusita au kisitisha harakati zetu.
  12. A

    JamiiForums Tanzania Watanzania tunaompenda, kumjali na kumthamini bila kujificha Rais Samia

    Tatizo Watanzania wengi mawazo yenu finyu hamjui kwamba kitu positive always huwa kina kipato.Kwa hiyo sio kupiga hela, mimi ni Mwananchi ninayemkubali Rais Dr Samia Suluhu Hassan na CCM na niliamua kuwa Mwanachama wa CCM kwa huu ni wito kwa Wananchi wanachama na wasiokuwa wanachama wanaomkubali...
  13. A

    JamiiForums Tanzania Watanzania tunaompenda, kumjali na kumthamini bila kujificha Rais Samia

    Huu ni uzalendo.
  14. A

    JamiiForums Tanzania Watanzania tunaompenda, kumjali na kumthamini bila kujificha Rais Samia

    Tupo ambao hatujaharibika kisaikolojia.
Back
Top Bottom