Mheshimiwa Rais Vladimir Putin mnadhani hajui kilichotokea Oktoba 2025 lakini jibu ni simple tu. UKweli ni Kilichotekea ni sheria imefanya kazi yake na ndiyo maana kaungwa mkono na Mheshimiwa Rais Vladimir Putin .
Changamoto iliyotokea inatokana na mfumo dume.Mpaka Mheshimiwa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan anapata Urais matokeo yake sio wapinzani tu hata Wana CCM wengine hawakutaka Mama Samia aongoze kwa hiyo hilo jambo likawa nafasi nzuri kwa wapinzani na wanaomchukia kufanya mipango ya kumuondoa na...
Watanzania tunapata taarifa tunizipokea haraka bila kuchanganua kwa kina na kuangalia uhalisia na kufanya maamuzi na matendo yasiyofaa kwenye Jamii kwa kuwa tu wapo kwenye changamoto na sehemu pa kuhegemea ni pabaya na kufanya maamuzi ya kuhegemea kwenye kutaka kupindia Serikali ya Mheshimiwa...
Hakuna asiyewaza tumbo lake hichi ni cha kwanza ujue na hakuna anayefanya kazi bila Maslahi.
Ukweli ninaopaswa kukupasha ni kwamba kuendesha nchi ni kazi ngumu Kutokana na watu kama wewe lakini tumezoea kosa ambalo tulifanya ni kuacha ujinga utambae hili ni kosa ambalo hatutafanya tena.
Wote nyie mnadhani riziki anawapa Mheshimiwa Rais Dkt Samia tengenezeni fursa wenyewe na ndiyo hapo Mungu kupitia Serikali ya Rais anakupa riziki.
AMKENI.
CCM hatujakamilika lakini tunapigania usahihi toka mwanzo lakini usisahau wanaoongozwa wengine ni wa binafsi na wabaya na lengo lao ni kuona hata kuna vita hii nchi nao ndiyo waliowatumia gen z kwa Maslahi yao na wala siyo yako wewe Mwananchi.
Tatizo Watanzania wengi mawazo yenu finyu hamjui kwamba kitu positive always huwa kina kipato.Kwa hiyo sio kupiga hela, mimi ni Mwananchi ninayemkubali Rais Dr Samia Suluhu Hassan na CCM na niliamua kuwa Mwanachama wa CCM kwa huu ni wito kwa Wananchi wanachama na wasiokuwa wanachama wanaomkubali...
Hii ni fursa kwa Watanzania tunaompenda,kumjali na kumthamini bila kujificha Mheshimiwa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan .Tunajua Taifa letu la Tanzania 🇹🇿 chini ya Chama cha Siasa tawala ambacho kimejenga msingi ambayo ndiyo ni Tanzania toka mwaka 1961.
Kutokana na maendeleo CCM imekutana na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.