Recent content by ALEVAMI

  1. A

    JamiiForums Tanzania Katiba mpya sio mabadiliko ya mzunguko wa pesa na wizi utakuwepo tu

    Sina mamlaka hiyo.
  2. A

    JamiiForums Tanzania Katiba mpya sio mabadiliko ya mzunguko wa pesa na wizi utakuwepo tu

    Sina mamlaka hiyo.
  3. A

    JamiiForums Tanzania Katiba mpya sio mabadiliko ya mzunguko wa pesa na wizi utakuwepo tu

    Sio kama Uchaguzi Mkuu I mean jinsi mchakato wake ulivyo.
  4. A

    JamiiForums Tanzania Katiba mpya sio mabadiliko ya mzunguko wa pesa na wizi utakuwepo tu

    Tatizo lako wewe unaona ni kama Uchaguzi Mkuu jinsi mabadiliko ya Katiba ya Nchi yalivyo.
  5. A

    JamiiForums Tanzania Katiba mpya sio mabadiliko ya mzunguko wa pesa na wizi utakuwepo tu

    Hiyo ni Katiba tunazungumzia sio kupiga kura ujue?
  6. A

    JamiiForums Tanzania Katiba mpya sio mabadiliko ya mzunguko wa pesa na wizi utakuwepo tu

    Kwa utulivu na ili maoni yako uhakikishe kama Mwananchi anayechochewa kutaka mabadiliko ya Katiba ya Nchi yanachukuliwa na kufanyiwa kazi utafanya jambo hili ukiwa kwenye mihangaiko yako ndugu,itawezekana kweli au unataka watu wakuandalie tu Katiba?
  7. A

    JamiiForums Tanzania Katiba mpya sio mabadiliko ya mzunguko wa pesa na wizi utakuwepo tu

    Katiba kubadilika ni la Nchi kwa hiyo hata kazi itabidi zisimame ili Katiba unayotaka wewe iwe active.Sio jambo rahisi kama linavyochochewa.Kuchochea Wananchi watake Katiba mpya ni mambo huvunja Amani.Bila kufuata taratibu ni lazima iwe kinyume na sheria.
  8. A

    JamiiForums Tanzania Katiba mpya sio mabadiliko ya mzunguko wa pesa na wizi utakuwepo tu

    Mabadiliko ya Katiba ni maboresho ya kilichopo siku zote lengo hua ni hilo na ni jambo sio la sisi Wananchi pekee pia linahusu ambao hatma ya Nchi yetu ipo mikononi mwao na ni jambo linalogharimu muda na pesa kwa hiyo Mimi kama Mwananchi usinichochee nifatilie Katiba kama haunilipi kufatilia...
  9. A

    JamiiForums Tanzania Mungu ni mmoja na Sisi kama watu tunaishi mfumo wa kimaendeleo ambao unamtukuza Mungu

    Wewe unadhani labda unachofanya kina mantiki ila hujui jinsi gani wewe uko giza lako binafsi la kujitakia
  10. A

    JamiiForums Tanzania Mungu ni mmoja na Sisi kama watu tunaishi mfumo wa kimaendeleo ambao unamtukuza Mungu

    Wewe ni chizi, unaelewa maana ya Serikali ?Mara ya kwanza katika Maisha yako umeijua Serikali wapi na kwa nguvu ya wakina nani?
  11. A

    JamiiForums Tanzania Mungu ni mmoja na Sisi kama watu tunaishi mfumo wa kimaendeleo ambao unamtukuza Mungu

    Najua Mungu ni mmoja na Sisi kama watu tunaishi mfumo wa kimaendeleo ambao unamtukuza Mungu kwa kushirikiana na kusaidiana kiutendaji kutimiza lengo la Mungu kikazi, kimaendeleo, fursa na riziki ndiyo maana tumekua ndugu na marafiki na Leo hii tunawasiliana kwa mipango ya Mungu.
  12. A

    JamiiForums Tanzania Putin na Hassan combination hii inamaana gani?Samia ni Mama

    Mheshimiwa Rais Vladimir Putin mnadhani hajui kilichotokea Oktoba 2025 lakini jibu ni simple tu. UKweli ni Kilichotekea ni sheria imefanya kazi yake na ndiyo maana kaungwa mkono na Mheshimiwa Rais Vladimir Putin .
  13. A

    JamiiForums Tanzania Watanzania tunaompenda, kumjali na kumthamini bila kujificha Rais Samia

    Changamoto iliyotokea inatokana na mfumo dume.Mpaka Mheshimiwa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan anapata Urais matokeo yake sio wapinzani tu hata Wana CCM wengine hawakutaka Mama Samia aongoze kwa hiyo hilo jambo likawa nafasi nzuri kwa wapinzani na wanaomchukia kufanya mipango ya kumuondoa na...
  14. A

    JamiiForums Tanzania Watanzania tunaompenda, kumjali na kumthamini bila kujificha Rais Samia

    Wewe ulitaka Mheshimiwa Rais awe nani ?
Back
Top Bottom