Recent content by Alette

  1. A

    GE2020 Sauti ya Umma (SAU): Ilani ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani

    Iko vizuri Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
  2. A

    GE2020 SAU wazindua Kampeni na Ilani kwa vitendo. Watumia Trekta Kulima kuonesha dhamira ya Kumtoa Mtanzania kwenye Jembe la Mkono

    Ilani iko vizuri sana asilmia kubwa ya watanzania ni wakulima na wafugaji hivyo kujikita Sana eneo hili itatoa ajira nyingi sana kwao watanzania Hii ya kiko hai ndio yenyewe hasaaa Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
  3. A

    GE2020 SAU Kuzindua ILANI na KAMPENI zake jumapili 13/09/2020

    Uzinduzi wa kampeni za SAU Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
  4. A

    GE2020 SAU Kuzindua ILANI na KAMPENI zake jumapili 13/09/2020

    Chama cha sauti ya umma (SAU) Kinatarajia kuzindua ilani ya uchaguzi mkuu wa 2020 na kampeni zake siku ya tarehe 13/09/2020 Uzinduzi wa ilani utafanyika kizitendo katika eneo la KWAZOO kata ya buyuni na baadae mkutano wa uzinduzi eneo la MOMBASA karibu na stand ya mabus katika Jimbo la ukonga...
  5. A

    GE2020 Fahamu vyama 19 vitakavyoshiriki Uchaguzi Mkuu utakaofanyika mwezi Oktoba

    Hawa chama cha sauti ya umma (SAU) Nawakubali sana Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
  6. A

    GE2020 Mgombea Urais kupitia SAU, Muttamwega Mgaywa na mgombea mwenza wamewasili Ofisi za NEC peku kuchukua fomu

    Nakubaliana na wewe kabisa Hili ni swala zito sana kumshirikisha mungu ni Jambo muhimu Hongera kwao kwa kulitambua hili Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
  7. A

    GE2020 SAU kuweka wagombea wa Ubunge na Udiwani katika Majimbo na Kata zote Bara na Visiwani

    Huku ni kwa kuja, kuliko kule kwa waliotaka tuwe lock down, sijui watanzania wangapi wangekuwa wamepoteza maisha kwa njaa Wanasiasa wanapaswa kuangalia maslahi ya wapiga Kura wao badala ya kuangalia maslahi binafsi Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
  8. A

    GE2020 Aliyekuwa Mbunge wa Mwibara, Mutamwega Mgaywa apitishwa na Chama cha Sauti ya Umma (SAU) kugombea Urais

    Hiki chama cha sauti ya umma inaonekana wako vizuri.hongera sana kwao Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
  9. A

    GE2020 SAU yaja na sera za kumuwezesha Mtanzania kula kuku mzima

    Huyu mgombea wa chama cha sauti ya umma SAU ukitafakari kwa undani Sera yake ni muhimu sana coz lishe ndio iliyotusaidia kwy janga la corona Ila ukiangalia kwa kufikiria kuku tu utakuwa bado huja muelewa Hongera kwake
Back
Top Bottom