Unaenda BRELA ukishapata certificate unaenda TRA kupata TIN no na Tax clearance then unaenda manispaa, halmashauri kupata leseni. Ukitoka hapo unachukua certificates zote ulizopata katika kila hatua na kupeleka benki kwa ajili ya kufungua akaunti
Na, Albert Sanga, Iringa.
Mapema mwezi wa saba mwaka jana nilikutana na mzee mmoja msataafu kutoka katika moja ya wilaya za mkoani Iringa. Mzee huyu ambaye ndio kwanza alikuwa ametoka kustaafu kazi yake ya ualimu nilimfahamu kwa njia ya simu kupitia kwa rafiki yangu. Haja ya mzee huyu ilikuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.