Ili kulinda misitu Serikali ni lazima ichukue hatua ikiwa ni pamoja na kuondoka kabisa kodi kwenye gesi iwe zero na kuweka ruzuku ili Bei ya gesi iwe chini zaidi. Hii itafanya kila mtu atumie gesi.
Hatua hii itaua Biashara ya mkaa na hapo tutalinda misitu na nikirudi kwa Lumola ni kwamba...
Mkuu Lumola naomba kufahamu kuhusu faida za Mkate wa nyuki. Nimekuwa nikisikia Mkate wa nyuki unafaida nyingi sana. Sasa naomba unipe maelezo kuhusu mkate wa nyuki
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.