Wakuu naomba kujuwa ikiwa ulifanya mtihani wa kurisit kidato cha nne na unahitaji kutumia cheti hicho katika mfumo wa ajira porta, unatakiwa uweke mwaka ulioanza shule na uliomaliza na namba ya mtihani na uambatanishe na cheti,
Je ukiweka mwaka uliomaliza shule na namba ya mtihani yakurisiti...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.