Recent content by AlaricC

  1. A

    Kimataifa: Duniani wanashangaa Tanzania jeshi kutumika kutishia wafanyabiashara na kulitumia kwenye saga la Korosho. Ndio picha lishaungua ivyo

    Watashangaa sana na Bado....Heko Mr. President....wanatujaribu ila wataisoma namba
  2. A

    Mpende, mchukie lakini Zitto anaendelea kuwa mwanasiasa adimu katika Tanzania yetu

    Ulichoandika na kichwa cha habati vitu 2 tofauti!!!![emoji43] [emoji43]
  3. A

    Ushauri: Nina hamu kufanya mapenzi kupitiliza

    Punguza kujisugua ikiwezekana acha kabisa
  4. A

    Msigwa: Bunge halijapeleka mapendekezo kwa Rais kuhusu uteuzi wa katibu

    Katiba iko juu ya sheria na sheria haiko juu ya katiba[emoji15] [emoji15] [emoji15] Mr. President is CORRECT!!!!!
  5. A

    Waziri Mkuu Kassim Majaliwa: Yeyote atakayechezea AMANI ya Tanzania atashughulikiwa!

    Waulize CDM Sent using Jamii Forums mobile app
  6. A

    Mauaji ya Polisi: Mwigulu azungumzia vilivyohisiwa visababishi vya sintofahamu hiyo

    Mkuu hayo mengine ungeyafukunyua pia ili kuisaidi serikali na hasa uislmu unaopakwa matope na hawa khawarij c siri hawa jamaa wameuweka uislamu kwenye sura mbaya sana ulimwenguni....all in all umenena vyema
  7. A

    Mauaji ya Polisi wetu ni Ujambazi, Ugaidi au Retaliation? Nini kifanyike kukomesha hali hii?

    Kivipi mkuu ...bashite hapo anahusika vp tena .....
  8. A

    Zitto: Kutajwa kwa Mbowe ni siasa tu,Makonda atabeba msalaba wake

    Una uhakika gani kama hana ushahidi???[emoji15] [emoji15] [emoji15]
Back
Top Bottom