Recent content by Al Jabari

  1. A

    JamiiForums Tanzania Je, Lengo la Askari wa Usalama Barabarani ni Kuelimisha au Kutoza Faini? Uzoefu Wangu Musoma Umeniacha na Maswali

    Nimeamua kushirikisha uzoefu wangu nilioupata Musoma Mjini ili nipate maoni ya wanajamii na pia kuona kama kuna wengine wamewahi kupitia hali kama hii. Mnamo tarehe 19 Juni 2026 nilisimamishwa na askari wa kike wa Usalama Barabarani akiwa Musoma Mjini. Aliniomba leseni ya udereva, nikamkabidhi...
Back
Top Bottom