Kuhusu changamoto kiongozi nafikiri unafaham hakuna biashara isiyokuwa na changamoto za hapa na pale, kwa upande wangu changamoto ninazopitia ni upatikanaji wa nafaka(mahindi/mpunga) eneo nililopo sio kijijini na hakuna wakulima.sasa inanilazimu niagize kutoka vijijini cost inakuwa kubwa
Sent...
Lengo la kuuza ni kuongeza hela na kubadilisha mfumo wa biashara.kama unavyoona mashine hiyo ni proposed kwa vijijini mahala pasipokuwa na umeme. Sisi tunahitaji mashine mpya za kisasa kutokana na mazingira tulipo
Sent using Jamii Forums mobile app
Ninauza mashine ya kusaga, kukoboa pamoja na diesel engine yake bei milion 2.5 negotiatable...mashine zipo Mwanza mkolani
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.