Recent content by Akram

  1. A

    GE2010 Rostam na Kikwete Dhidi ya Dokta Slaa

    ni kweli huu ni usaliti mtupu, mbona wewe paka jimmy unafanya selective information processing, kwani unataka sisi sote tuone mambo kwa mtazamo wako tuu????? Shame on you too!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
  2. A

    GE2010 Tendwa kuweka historia?

    Tuacheni ushabiki usiokuwa na utashi. TUCTA iliitisha mgomo nchi nzima: Madaktari, manesi, walimu, wafanyakazi wa ndani, mapolisi na hata wanajeshi walishawishiwa kugoma. Taasisi zote za umma na za binafsi. Ukweli ni kwamba Nchi ingesimama. Mgomo huu ulisitishwa kwa ahadi kwamba serikali...
Back
Top Bottom