NI vizuri tu kusema- nakusema hivi au nakusikia unanuka. Tatizo wewe unasema fulani kasema anakusikia unanuka, wakati siyo. huo ni uongo na kuwaadaa watu. UN umewalisha maneno. Hawajasema maneno uliyoandika.
A failed mind. Hili la udini pia hailipi.Unajaribu kuokota okota na kuunganisha kwa gundi ya soda vitu visivyo na maana. Kubali umeshindwa brother. Nenda kalime matikiti
A failed mind. Hili la udini pia hailipi.Unajaribu kuokota okota na kuunganisha kwa gundi ya soda vitu visivyo na maana...
A failed mind. Hili la udini pia hailipi.Unajaribu kuokota okota na kuunganisha kwa gundi ya soda vitu visivyo na maana. Kubali umeshindwa brother. Nenda kalime matikiti.
Hivi ni wewe ulianzisha uzi mahali fulani ukitaka tujadili hili suala bila kutua matusi, kejeli na maneno ya kufedhehesha wengine ? Unayofanya hapa ni nini?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.